Mangi flani hivi
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 2,026
- 3,100
Ni kweli kabisa natoa wito kwa wote wenye mia njema kutoka kila kona ya nchi hii kumuunga mkono..Rais wetu ana nia ya dhati kabisa kuhakikisha kuwa kuna kuwepo na matumizi sahihi ya fedha za uma katika miradi ya wananchi. Hili ni jambo la kuungwa mkono na kila mmoja wetu.
Watu wanaloga nyiee ohooookuna muda nafikiri hata yeye huwa anajishangaa akikaa na kuziangalia hbr za ziara zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Here is job only.Hahaaaa. safi kabisa. we are not joking here
The road to hell is paved with good intentions.Rais wetu ana nia ya dhati kabisa kuhakikisha kuwa kuna kuwepo na matumizi sahihi ya fedha za uma katika miradi ya wananchi. Hili ni jambo la kuungwa mkono na kila mmoja wetu.
huyo kingunge wakati anakukaririsha huo msemo alikua kakudandia mgongoni,, haiwezi kuwa hivi hivi tuNinamkumbuka mzee kingunge alisema huyu alistahili kuwa mnyampala wa Barabara na si vinginevyo sasa yametimia
Alikuwa amemdandia mkeo mgongoni ndio akanikaririsha huo msemohuyo kingunge wakati anakukaririsha huo msemo alikua kakudandia mgongoni,, haiwezi kuwa hivi hivi tu