Aisee Kongosho kumbe na wewe unaijua hiyo menyu................ yaani hapa pilipili imekolea kwenye chanchandu mpaka nimepata vijimafua....!
Hahahahahaaaa Dar kuna vyakula vya ajabu ila vitamu sanaaaaaaaErickb52......... hiyo menyu nakumbuka wakati ule nikikaa Mwananyamala Kwa Mama Zakaria jirani kabisa na Kwa Ali Manjunju pale makaburini karibu na ule mbuyu usiozeeka kulikuwa na Mpemba mmoja alikuwa ni mtengeneza chachandu na urojo usipime mzee ..................Mihogo na Vihepe ndiyo ilikuwa mwake.................