Invarbrass
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 504
- 111
Naona matatizo tuliyonayo sasa baada ya miaka 50 ya uhuru hayaendani na kauri mbiu ya kushehekea maadhimisho ya miaka 50 inayo sema tumedhubutu, tumeweza tusonge mbele. Kwakuwa tunarudi nyuma katika mambo mengi badala ya kusonga mbele (umeme mabwawa kukauka badala ya kuongeza mapya, nk.) Kauri mbiu yetu ingekuwa; TUMEJARIBU, TUMESHINDWA TUJIPANGE UPYA. Toa maoni yako.