Kauli za viongozi wa Tanzania zenye utata!

8. "Hakikisha wewe mkurugenzi huyo mgombea wa ccm bw Aeshi hapo Sumbawanga mjini anatangazwa kuwa mshindi" ( Pinda: Siku moja baada ya uchanguzi mkuu 2010"
 
acheni kutisha wananchi ulimboka ni mgonjwa kama wagonjwa wengine wanaohitaji msaada kupata matibabu.na uhakika CHADEMA INAHUSIKA na ulimboka ILI NCHI ISITAWALIKE waliwahi kusema WATAFANYA KILA LIWEZEKANALO ILI NCHI ISITAWALIKE
 
Kama huna nauli piga mbizi
Wanafunzi wanaopata mimba shule ni matokeo ya viherere vyao
 
tanzania ina rasimali nyingi,kwanini wananchi wake ni maskini,(aliuzwa vasco da dama huko ughaibu),akajibu ""hata mimi sijui ni kwa nini ni maskini""
 
Jana wakati wa kujibu hoja kuhusu wizara inayohusika na muungano, waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa Mh. Shamsi Vuai Nahodha alitoa kauli ambayo sidhani kama watu wengi waliinote lakini mi niliona kama ni kauli tata sana. Alisema "Kusema ukweli ni vizuri lakini pia kuna wakati ukweli unaweza kusababisha matatizo makubwa so tuseme ukweli pale panapofaa"

Kwa mtazamo wangu ni kwamba kuna ukweli mwingi kwenye maneno yaliyokuwa yamesemwa na Mh. Tundu Lissu ila tu tabu ni kwamba hakutakiwa kusema ukweli bali uongo ili tusiingie kwenye matatizo. This is very interesting......
 
Nashukuru sana kama na wewe ulinote hii kauli sasa ubaya wa hivi vitu matokeo yake nduyo yale waswahili wanayosema "mficha maradhi kifo umuumbua"

Tusifiche maradha hapa namaanisha tusifiche ukweli acha ukuweli ujulikane na ujadiliwe na km kunamatatizo yaobainishwe na kutafutiwa ufumbuzi...yote unayoyaona yanayotokea hko zanzibar (uhamsho) ni matokeo ya kufucha ukweli sasa tusingoje yatokee na hapa bara..viongozi na wahusika wote chukueni hatua
 
wao ndio wamezaliwa wanajua kiswali tangu utotoni lakini akina Lissu wamefundishwa darasani kwa hiyo hawawezi kutofautisha maana ya nchi mbili
 
Ndugu zangu, nimekuwa napata shida sana na kauli au hoja za viongozi wetu, hapa najaribu kuzichambua kidogo,
1. JK: wakati anagombea urais alikuwa na kauli mbiu nyingi, kama, vijana mtawezeshwa, na Maisha bora kwa kila mtamzania, JK huyo huyo akihojiwa na radio moja nafikiri BBC aliulizwa kwa nini Tanzania ni Maskini akasema hajui kwa nini TZ ni maskini. sipati picha na hii kauli,
pili aliahidi kuboresha maslahi ya wafanyakazi akiingia madarakani, leo anasema posho kwa madakatari na walimu hakuna, tena walimu waliitwa mbayuwayi na kura zao hazitaki. mara vyama upinzani ni vya msimu matokeo yake akapata 61% ya kura na sasa anaweweseka na kasi ya M4C

2. Zitto Kabwe: Yeye na J. Makamba walipigania sana umri wa kugombea uraisi upunguzwe, ili vijana wapate nafasi ya kuongoza nchi na akasema anataka kugombea huo uraisi baadaye, akasema hatagombea uongozi wowote viongozi waliopo ni wanafaa. juzi tena amesema anautaka uraisi huyu mi simuelewi. labda nyie mnamuelewa.

3. Edward Lowasa: Amekua kwenye mkakati wa kujinasua kaika kashfa ya ufisadi, na bungeni alishawahi sema serikali hii haiwezi kuchukua maamuzi magumu. kisha akamkemea Mwenyekiti wake kwenye kikao cha NEC akimuuliza ni kipi asichojua JK juu ya Richmond? akaendelea kuisema serikali kwenye harambee zake makanisani akisema serikali imewasahau vijana kwa hiyo ni kama bomu linalosubiri kulipuka. juzi JK katembelea jimboni kwake kugawa ng`ombe kageuka anasema JK ni muadilifu na mtu jasiri sasa ipi kauli ya kufuata? naomba kuwasilisha na kama kuna mtu ana kauli tete za viongozi wetu atujuze
 
Kauli tata nyingine, ni hii ya majuzi wakati JK anaongea na wahariri wa vyombo vya habari, aliposema kuwa hakuna rushwa yoyote iliyotokea kwenye ununuzi wa rada, isipokuwa ile kampuni ya kiingereza ya BAE systems,iliyotuuzia hiyo rada, ilijichanganya ikakosea kuprint bei yake, ikaaongeza kwenye maandishi sterling pound milioni 28, na ndiyo maana majuzi tulirejeshewa CHENJI ya TSHS bilioni 72!!!kama ni kweli hiyo nyongeza kubwa yote hiyo lilikuwa ni kosa la uchapaji, basi tuna viongozi wazembe wa hali ya juu, na kwa hilo hawapaswi kuendelea kushika nyadhifa zao!! kwa kuwa kama wameweza kulipa bilioni 72 zaidi ya bei ya kawaida, je tumeshawahi kuchomekewa mara ngapi malipo hayo makubwa na tumeyalipa?na je kama siyo kelele ya wabunge wa UK na SFO yao, hizo pesa zingerudi kweli?! Wakati mwingine JK aangalie uwongo wa kuwadanganya wa-TZ, uwongo huo alioutoa hapo majuzi, hata mtoto mdogo wa chekechea hawezi KUDANGANYIKA!! Na sasa analazimika kutwambia,mbona pesa za mzee wa vijisenti, Chenge ambazo zilikutwa kwenye benki ya nje ya New Jersey, hakuwahi kuziandikisha kwenye Tume ya maadili ya viongozi??!!!
 
Kauli tata nyingine, ni hii ya majuzi wakati JK anaongea na wahariri wa vyombo vya habari, aliposema kuwa hakuna rushwa yoyote iliyotokea kwenye ununuzi wa rada, isipokuwa ile kampuni ya kiingereza ya BAE systems,iliyotuuzia hiyo rada, ilijichanganya ikakosea kuprint bei yake, ikaaongeza kwenye maandishi sterling pound milioni 28, na ndiyo maana majuzi tulirejeshewa CHENJI ya TSHS bilioni 72!!!kama ni kweli hiyo nyongeza kubwa yote hiyo lilikuwa ni kosa la uchapaji, basi tuna viongozi wazembe wa hali ya juu, na kwa hilo hawapaswi kuendelea kushika nyadhifa zao!! kwa kuwa kama wameweza kulipa bilioni 72 zaidi ya bei ya kawaida, je tumeshawahi kuchomekewa mara ngapi malipo hayo makubwa na tumeyalipa?na je kama siyo kelele ya wabunge wa UK na SFO yao, hizo pesa zingerudi kweli?! Wakati mwingine JK aangalie uwongo wa kuwadanganya wa-TZ, uwongo huo alioutoa hapo majuzi, hata mtoto mdogo wa chekechea hawezi KUDANGANYIKA!! Na sasa analazimika kutwambia,mbona pesa za mzee wa vijisenti, Chenge ambazo zilikutwa kwenye benki ya nje ya New Jersey, hakuwahi kuziandikisha kwen Tume ya maadili ya viongozi??!!!

huu ni uongo na tunadanganywa hivi kwasababu ya uwezo wetu wa kufikiri biashara yeyote uanza kwa kuupatana bei kabla hamjaanza kufanya biashara umeletewa quotation na bei sio ile ulio patana kwa kwanini usiurize kabla hujanunua
 
tatizo jamaa wamejua kwmba ni ubwabwa na futari tu vinatutuliza na wao kuendelea kufaidi maziwa na asali

Umesahau kauli za mpendwa wetu Pinda... pamoja na kushangaa, kushtushwa, kulia na kuzidi kulia??
 
Kauli tata nyingine, ni hii ya majuzi wakati JK anaongea na wahariri wa vyombo vya habari, aliposema kuwa hakuna rushwa yoyote iliyotokea kwenye ununuzi wa rada, isipokuwa ile kampuni ya kiingereza ya BAE systems,iliyotuuzia hiyo rada, ilijichanganya ikakosea kuprint bei yake, ikaaongeza kwenye maandishi sterling pound milioni 28, na ndiyo maana majuzi tulirejeshewa CHENJI ya TSHS bilioni 72!!!kama ni kweli hiyo nyongeza kubwa yote hiyo lilikuwa ni kosa la uchapaji, basi tuna viongozi wazembe wa hali ya juu, na kwa hilo hawapaswi kuendelea kushika nyadhifa zao!! kwa kuwa kama wameweza kulipa bilioni 72 zaidi ya bei ya kawaida, je tumeshawahi kuchomekewa mara ngapi malipo hayo makubwa na tumeyalipa?na je kama siyo kelele ya wabunge wa UK na SFO yao, hizo pesa zingerudi kweli?! Wakati mwingine JK aangalie uwongo wa kuwadanganya wa-TZ, uwongo huo alioutoa hapo majuzi, hata mtoto mdogo wa chekechea hawezi KUDANGANYIKA!! Na sasa analazimika kutwambia,mbona pesa za mzee wa vijisenti, Chenge ambazo zilikutwa kwenye benki ya nje ya New Jersey, hakuwahi kuziandikisha kwenye Tume ya maadili ya viongozi??!!!

Kwanini wanafunzi wengi wa kike wanapata ujauzito? Kwa sababu wana viherehere!!!!!!!!! By JK
 
Nchi hii ni kama imeuzwa nazungumza jambo hli kwa machungu zaidi., tazama watu wanaiba mabilion hawachukuliw hatua yeyote na wakipelekwa mahakaman et kesi wanashnda..,baba angu hana kaz kwa rushwa ya elfu thelathni.,nchi hii inaenda wap m naona viongoz wengne hawafai hata kuitwa waheshimiwa haa haa haa haa haa dawa yao ndogo najua unajua ni 2015.....wazee wamepungua vijana ndo weng huwez kutuambia 2+1=21 na mimi nikakubali
 
Back
Top Bottom