King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
Huyo ndo waziri gani vile?
Nitawagonga wanafunzi wa vyuo hadi wachakae- David Cameron.
Nitawagonga wanafunzi wa vyuo hadi wachakae- David Cameron.
AsalaamuJe je je unakumbuka kauli nyingine kali iliyowahi kutolewa na mawaziri/viongozi ungana nami katika uzi huu
- BASIL Mramba alipojiwa juu kuhusu ununuzi wa rada na madhila yake kiuchumi alijibu TUTAKULA HATA NYASI NA RADA ITANUNULIWA
Huyo ndo waziri gani vile?
Watu wameambia waeleze kauli tata za mawaziri lakini wanaleta hadi za JK, Lowassa, OCD....... Hao nao wamekuwa mawaziri?
Asalaamu
Je je je unakumbuka kauli nyingine kali iliyowahi kutolewa na mawaziri/viongozi ungana nami katika uzi huu
Kaka Mwita25 unakula mchicha weye?
Jumanne Maghembe "Wazazi wawasomeshe watoto wao" anawaambia watoto wa wakulima wakati kashatoa mikopo kwa watoto wa vigogo!
Sofia Simba- Wanawake Wanyimeni Waume zenu! ''xoxoxoxo'' Wakiwapigia kura Wapinzani
kweli tz tuna viongozi wa aina yake, kidumu chama cha mafisadi
Mizengwe iliyo pinda; tukishitaki mafisadi uchumi wa inchi utayumba
A.H.Mwinyi akimpigia kampeni Cisco,ubunge temeke."Haya kina mama hapo mbele mtampa!? Na akina baba huko nyuma!?