ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
No 21 na 25 Mhmm
1. Wakazi wanaokaa Kigamboni ambao hawawezi kulipa shilllingi mia mbili ya Ferry WATAPIGA MBIZI.
2. Wale ambao wanapata mishahara mikubwa ya kuanzia milioni 30-45 na WANAISHI KAMA MALAIKA nitawashusha mishahara yao iwe chini NAO WAISHI KAMA MASHETANI.
3.Mimi sina Uvumilivu kama wa Mzee KIKWETE, Ile siku alipoingia akakuta watu wanaimba wana imani na MTU FULANI ingelikuwa ni mimi ZAIDI YA NUSU YA WAJUMBE NINGEWAPOTEZA....!!!
4. Nataka Polisi mnapokamata MAJAMBAZI MUWANYANG'ANYE SILAHA HARAKAHARAKA MTANIFURAHISHA KWELI.
5. Wanafunzi waliokuwa wanasoma UDOM WOTE NI ****** hivo wote warudi nyumbani.
6. Mimi ni TOFAUTI SANA HUWA SIJARIBIWI NA SITAKAA NIJARIBIWE, WALE WANAOTAKA KUANDAMANA TAREHE 1 SEPTEMBA NATAKA WATANGULIE WAO NITAWAONYESHA CHA MTEMA KUNi!!
Matamko mengine ya JPM ni kama haya .'' SAMAKI WA MAGUFULI......" NATAKA TANZANIA YA MAGUFULI IWE YA VIWANDA, MKONO WA MAGUFULI UMEZUIA MABOTI KWENDA ZIWA VICTORIA. n.k na n.k.
Wewe kilaza ungeanzisha thread yakoMatamko ya Mbowe yenye tija ni yapi km siyo kufukuza wanampinga, kuna decteta zaidi ya mbowe.
Ebu rudia tena kusoma ulichooandikaMatamko ya Mbowe yenye tija ni yapi km siyo kufukuza wanampinga, kuna decteta zaidi ya mbowe.
"Atakaepita kwenye barabara ya mabasi ya mwendokasi mng'oe matairi yake kesho akija kuuliza mwambieni lilikuja hivyo hivyo"Atakaepita kwenye barabara ya mabasi ya mwendokasi mng'oe matairi.
Traffic kupewa 5000 sio rushwa ni ya kusafishia viatu.
Tukiamia Dodoma nitapiga mnada majengo ya Serikali.
Hivi nikweli aliwahi kuyasema hayo???????Atakaepita kwenye barabara ya mabasi ya mwendokasi mng'oe matairi.
Traffic kupewa 5000 sio rushwa ni ya kusafishia viatu.
Tukiamia Dodoma nitapiga mnada majengo ya Serikali.
Kwa hili raisi alikuwa anataka timuyetu ya olimpiki ya kuogelea ituletee dhahabu tupu.Wakazi wanaokaa Kigamboni ambao hawawezi kulipa shilllingi mia mbili ya Ferry WATAPIGA MBIZI.
Kwa hili raisi wetu kipenzi cha watz, aachwe afanye kaazz,hii ni awamu ya tano,asyefanya na kazi na asile, anayefanya maandamano na ale virungu, please turn over.Mimi ni TOFAUTI SANA HUWA SIJARIBIWI NA SITAKAA NIJARIBIWE, WALE WANAOTAKA KUANDAMANA TAREHE 1 SEPTEMBA NATAKA WATANGULIE WAO NITAWAONYESHA CHA MTEMA KUNi!!
Hivi nikweli aliwahi kuyasema hayo???????
Duh!!! hapo kwenye kuwakata miguu ndo noma sana.Nitawatumbua kweli kweli ikibidi hata kuwakata miguu.. Magu Akiwa Buhongwa.