Kamanda D
Senior Member
- Jul 11, 2015
- 134
- 86
Kwa mtazamo huo kwa Tanzania yetu ilipofikia basi ni heri kuwa na kiongozi wa hivyo, maana watu walikua wanazoa sio kuchota, wewe fikiria makontena ya udongo wa madini yanasafirishwa bila hatua yoyote kuchukuliwa, tulizidi kuwa shamba la bibiMadikteta wa kweli wanafanya mambo makubwa sana kwa nchi zao ingaweje wanakuwa na mambo ambayo yanakera sehemu fulani ya jamii...rejea dikteta wa Kuwait (mkulu alisema hvo)...dikteta wa Libya....dikteta wa Singapore...na wengineo....nimejaribu tu kutaja wachache....huyu wa kwetu ni dikteta.........(rejea kauli ya Lissu)....naogopa kuzingirwa mie..