if cap fits
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 1,381
- 1,872
Nimecheka sana ,polisiccm wakaona hali si shwariZile bomba za makachero wa USA sio za mchezo,polisi waliokuwa wanamsubiri Lissu ilibidi waishie kuchungulia kwa mbali!
Namtakia kheri Lissu huko aliko,aachane na hizi maiti za Tanzania mpaka zitakapofufuka!