Kume kuwa na kauli kutoka kwa baadhi ya wanasiasi kulitumia suala la mikopo na Madeni ya nchi kinyume na Uhalisia!.
Serekali ipo Madarakani kwa niaba ya wananchi. Hivyo Jambo lolote ambalo linafanywa na Serekali hufanywa kwa niaba ya wananchi walio ipa ridhaa kuwaongoza.
Serekali inapo chukua Mikopo kwa ajili ya kutekeleza miradi ya Maendeleo,Mkusudiwa wa kunufaika na miradi hiyo ni Mwananchi,
Mfano: Nchi imechukua mkopo kwa ajili ya kukamilisha mradi wa SGR ili kuiunganisha nchi kwa mtandao wa reli ya kisasa na nchi za Jirani zikiwemo,Rwanda,burundi,Kongo n k.
Kukamilika kwa Reli hii kutafungua fursa za kiuchumi kwa nchi kuongeza mapato kwa sababu Bandari yetu itatumika kupokea Mizigo mingi ya nchi Jirani na Reli yetu itatumika kusafirisha mizigo hiyo kwa haraka na kufanya uchumi wa nchi kuongezeka kwa haraka!.
Pato la nchi linapo ongezeka ndipo huduma za Serekali kwa wananchi wake zinapo ongezeka na uwezo wa Serekali kulipa madeni unaongezeka.
Na mwananchi kunufaika na huduma za zinazo tolewa na Serekali ndipo kunako leta maana ya kufaidika kupitia mipango ya Serekali iliyo Madarakani kwa niaba yao.
Sasa utakuta watu Wanazungumza kwamba Serekali inakopa halafu mzigo wa kulipa deni hilo unakuwa ni wa wananchi.!
KAULI hii si sahihi kabisa!.
Kwa sababu kauli Kama hii inaonyesha kana kwamba mwananchi analipa deni ambalo hanufaiki nalo.jambo ambalo si kweli.!
Mkopo umechukuliwa na Serekali kwa niaba ya wananchi ili ufanyike mradi utakao wanufaisha wananchi.
kwa maana hiyo tunaweza kusema wananchi wanaofaidika na mradi uliopatikana kwa mkopo ndio wanao paswa kulipa deni ili waendelee kufaidika na mradi huo .!
Lakini kusema tu kwamba Wananchi wanabebeshwa mzigo wa kulipa madeni kana kwamba hawapati huduma inayo tokana na mkopo huo. inakuwa ni kutoitendea haki serekali iliyowekwa kwa niaba ya wananchi.!.
SEREKALI IMEKOPA KUKAMILISHA MRADI WA SGR Maana yake= Wananchi wamekopa ili wapate mradi wa SGR wanufaike na pato la reli hiyo na wanufaike na fursa zitakazo jitokeza kupitia reli hiyo.
Baada ya Mradi kukamilika:
SEREKALI INALIPA MKOPO WA SGR Maaana yake= Wananchi wanalipa deni la mkopo wa mradi wa SGR ambao umekamilika na wanafaidika kwa Pato la taifa(huduma mbali mbali zinazo changiwa na mradi huo) wanafaidika kwa fursa zinazotokana na uwepo wa mradi huo.
Serekali ipo Madarakani kwa niaba ya wananchi. Hivyo Jambo lolote ambalo linafanywa na Serekali hufanywa kwa niaba ya wananchi walio ipa ridhaa kuwaongoza.
Serekali inapo chukua Mikopo kwa ajili ya kutekeleza miradi ya Maendeleo,Mkusudiwa wa kunufaika na miradi hiyo ni Mwananchi,
Mfano: Nchi imechukua mkopo kwa ajili ya kukamilisha mradi wa SGR ili kuiunganisha nchi kwa mtandao wa reli ya kisasa na nchi za Jirani zikiwemo,Rwanda,burundi,Kongo n k.
Kukamilika kwa Reli hii kutafungua fursa za kiuchumi kwa nchi kuongeza mapato kwa sababu Bandari yetu itatumika kupokea Mizigo mingi ya nchi Jirani na Reli yetu itatumika kusafirisha mizigo hiyo kwa haraka na kufanya uchumi wa nchi kuongezeka kwa haraka!.
Pato la nchi linapo ongezeka ndipo huduma za Serekali kwa wananchi wake zinapo ongezeka na uwezo wa Serekali kulipa madeni unaongezeka.
Na mwananchi kunufaika na huduma za zinazo tolewa na Serekali ndipo kunako leta maana ya kufaidika kupitia mipango ya Serekali iliyo Madarakani kwa niaba yao.
Sasa utakuta watu Wanazungumza kwamba Serekali inakopa halafu mzigo wa kulipa deni hilo unakuwa ni wa wananchi.!
KAULI hii si sahihi kabisa!.
Kwa sababu kauli Kama hii inaonyesha kana kwamba mwananchi analipa deni ambalo hanufaiki nalo.jambo ambalo si kweli.!
Mkopo umechukuliwa na Serekali kwa niaba ya wananchi ili ufanyike mradi utakao wanufaisha wananchi.
kwa maana hiyo tunaweza kusema wananchi wanaofaidika na mradi uliopatikana kwa mkopo ndio wanao paswa kulipa deni ili waendelee kufaidika na mradi huo .!
Lakini kusema tu kwamba Wananchi wanabebeshwa mzigo wa kulipa madeni kana kwamba hawapati huduma inayo tokana na mkopo huo. inakuwa ni kutoitendea haki serekali iliyowekwa kwa niaba ya wananchi.!.
SEREKALI IMEKOPA KUKAMILISHA MRADI WA SGR Maana yake= Wananchi wamekopa ili wapate mradi wa SGR wanufaike na pato la reli hiyo na wanufaike na fursa zitakazo jitokeza kupitia reli hiyo.
Baada ya Mradi kukamilika:
SEREKALI INALIPA MKOPO WA SGR Maaana yake= Wananchi wanalipa deni la mkopo wa mradi wa SGR ambao umekamilika na wanafaidika kwa Pato la taifa(huduma mbali mbali zinazo changiwa na mradi huo) wanafaidika kwa fursa zinazotokana na uwepo wa mradi huo.