Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,486
- 86,003
Nimecheka sana sana aiseeeee, Tanzanite unaijengea Ukuta?? Kwanza kwa bajeti ipi? Halafu wakichimba chini kwa chini? Hahahahhaaahahaaaaa naogopa mfuko wa sandarusiAkijenga ukuta halafu kesho Tanzanite ikagunduliwa nje kidogo ya ukuta itakuwaje? Atavunja ukuta ili ausogeze au atajenga mpya?
Anajuaje wapi kuna Tanzanite na wapi hakuna Tanzanite?
Ukuta wa kuzinga kwenye Tanzanite na miundombinu ya kuzuia wachimbaji wasifukiwe machimboni, kipi muhimu?