Kauli za Prof Ndalichako zinawakatisha tamaa wanafunzi ualimu waliopo vyuoni!

Ships nyingi zimejaa walimu wa sanaa kwa shule za serikali. Mfano mwl anakuwa na vipindi viwili kidato cha kwanza.Je ungekuwa wewe ungeajili tena?
 
Soma ili ufute. Ujinga fursa ziko nyingi.ualimu ni nini mpaka ukutoe ulimi.Ajira Tanzania ziliisha Tangia mwaka 1993 ,Jifunze kujiongeza.
 
Kuka kimya HAPANA, Taarifa ni muhimu ili situsaidie kufanya maamuziNQUOTE="mtotomtamuu, post: 18921730, member: 402168"]Wakuu ni dhahiri kuwa kauli aliyoitoa prof ndalichako kuhusu ajira mpya za waalimu wa masomo ya sayansi tu, Imeshawakatisha tamaa na inaendelea kuwakatisha tamaa walimu wanaosubiria ajira na wale ambao bado wapo vyuoni.

Kuna wanafunzi wa ualimu wa masomo ya arts waliopo vyuoni sasa wanafikiria kuachana na masomo kwani tayari tamko la waziri ndalichako limeshawavuruga.

My take

Ni muhim matamko yatolewe kwa hekima au ni heri mtu kama umeshajua ukweli ukae kimya tu kuliko kutoa matamko then ikawa ni kero kwa wengine[/QUOTE]
J
 
Wakuu ni dhahiri kuwa kauli aliyoitoa prof ndalichako kuhusu ajira mpya za waalimu wa masomo ya sayansi tu, Imeshawakatisha tamaa na inaendelea kuwakatisha tamaa walimu wanaosubiria ajira na wale ambao bado wapo vyuoni.

Kuna wanafunzi wa ualimu wa masomo ya arts waliopo vyuoni sasa wanafikiria kuachana na masomo kwani tayari tamko la waziri ndalichako limeshawavuruga.

My take

Ni muhim matamko yatolewe kwa hekima au ni heri mtu kama umeshajua ukweli ukae kimya tu kuliko kutoa matamko then ikawa ni kero kwa wengine
Tusome tu ndugu zangu watatuelewa tu
 
C
Wakuu ni dhahiri kuwa kauli aliyoitoa prof ndalichako kuhusu ajira mpya za waalimu wa masomo ya sayansi tu, Imeshawakatisha tamaa na inaendelea kuwakatisha tamaa walimu wanaosubiria ajira na wale ambao bado wapo vyuoni.

Kuna wanafunzi wa ualimu wa masomo ya arts waliopo vyuoni sasa wanafikiria kuachana na masomo kwani tayari tamko la waziri ndalichako limeshawavuruga.

My take

Ni muhim matamko yatolewe kwa hekima au ni heri mtu kama umeshajua ukweli ukae kimya tu kuliko kutoa matamko then ikawa ni kero kwa wengine[/QU
DAWA YOYOTE NI DAWA TU HAIJALISHI CHUNGU AU TAMU KWA KUWA UBORA WA DAWA SIO LADHA! KAMA HAO WANAFUNZI WALIKUWA WANASOMA KWA AJILI YA KUAJIRIWA NA SERIKALI WABADILI MTAZAMO! SIKU ZOTE SERIKALI SIO MWAJIRI MKUU WA GRADUATE! CHANGE YOUR MINDSET!
 
Mkuu mwenyewe nimehitimu shahada ya elimu Geography na history Sina hamu kabisa aisee nimetafuta mno tempo cjapata na sasa hivi serikali imekata ajira Kwa Walimu wa arts sijui itakuwaje.. Hapa nmeanza kuuza viatu vya kimasai nataka Nitafute million mbili tuu ninunue boda boda niingie barabarani huenda riziki yangu Ndo Mungu kanipangia huko ila nlikuwa naipenda Sana kazi yangu ya ualimu maana baba yangu ni mwalimu mstaafu nlikuwa Nafurahi Sana kumsaidia kazi zake Za ualimu nikatokea kuipenda Sana hii taaluma.

Wito wangu Kwa wahitimu wa ualimu Kwa upande wa arts ni Kwamba tusiwe watumwa wa vyeti vyetu vya elimu tukubali kujishusha tusake Maisha mtaani ingawa inauma Sana lakini hakuna namna mm natembeza viatu mtaani Kama machinga japo watu wanaonijua wananishangaa ila nachukulia poa ipo cku watanizoea tuu.. Cha msingi ni kumuomba Mungu tuu ipo cku na ww utapata neema zake hadi utashangaa.. Mungu husaidia wanaojisaidia.
 
Kwan nyie mnasoma ili muajiriwe serikalini tu kwan hamna shule za binafsi hebu acheni uelemama wa kutegmea serikalin tu
Wakuu ni dhahiri kuwa kauli aliyoitoa prof ndalichako kuhusu ajira mpya za waalimu wa masomo ya sayansi tu, Imeshawakatisha tamaa na inaendelea kuwakatisha tamaa walimu wanaosubiria ajira na wale ambao bado wapo vyuoni.

Kuna wanafunzi wa ualimu wa masomo ya arts waliopo vyuoni sasa wanafikiria kuachana na masomo kwani tayari tamko la waziri ndalichako limeshawavuruga.

My take

Ni muhim matamko yatolewe kwa hekima au ni heri mtu kama umeshajua ukweli ukae kimya tu kuliko kutoa matamko then ikawa ni kero kwa wengine
 
Mkuu mwenyewe nimehitimu shahada ya elimu Geography na history Sina hamu kabisa aisee nimetafuta mno tempo cjapata na sasa hivi serikali imekata ajira Kwa Walimu wa arts sijui itakuwaje.. Hapa nmeanza kuuza viatu vya kimasai nataka Nitafute million mbili tuu ninunue boda boda niingie barabarani huenda riziki yangu Ndo Mungu kanipangia huko ila nlikuwa naipenda Sana kazi yangu ya ualimu maana baba yangu ni mwalimu mstaafu nlikuwa Nafurahi Sana kumsaidia kazi zake Za ualimu nikatokea kuipenda Sana hii taaluma.

Wito wangu Kwa wahitimu wa ualimu Kwa upande wa arts ni Kwamba tusiwe watumwa wa vyeti vyetu vya elimu tukubali kujishusha tusake Maisha mtaani ingawa inauma Sana lakini hakuna namna mm natembeza viatu mtaani Kama machinga japo watu wanaonijua wananishangaa ila nachukulia poa ipo cku watanizoea tuu.. Cha msingi ni kumuomba Mungu tuu ipo cku na ww utapata neema zake hadi utashangaa.. Mungu husaidia wanaojisaidia.
hongera mkuu mimi sina cha kuongezea hapo NAKUOMBEA BARAKA NA MAFANIKIO.
 
Hongera mkuu kwa juhudi zako kubwa za kupambana na maisha ya hii dunia, hakika tusikate tamaa tuzidi kupambana na kwa uwezo wa MUNGU tutafanikiwa tuu.
 
Back
Top Bottom