DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,381
- 98,833
Wasalaaam,
Uyu waziri wetu wa fedha Bw. Mwigulu Nchwmba anapaswa kudhibitiwa,
Au Kama Hana la maana la kuongea Bora TU akae kimya.
Kumsikiliza mwigulu akiongea chochote nchi Hii imekua Ni KERO Sana.
Uyu jamaa
Ana kauli za kikatili Sana,
Anakauli za kebehi, majivuno na kujiskia Sana.
Uyu jamaa anachochea sana chuki ya wananchi dhidi ya serikali yao.
Sijajua wananchi wake uko jimboni kwakw wanazipokeaje kauli zake anazozitoa Kwenye media kila Mara.
TUNAKOELEKEA SIO KUZURI KWAKWELI
Uyu waziri wetu wa fedha Bw. Mwigulu Nchwmba anapaswa kudhibitiwa,
Au Kama Hana la maana la kuongea Bora TU akae kimya.
Kumsikiliza mwigulu akiongea chochote nchi Hii imekua Ni KERO Sana.
Uyu jamaa
Ana kauli za kikatili Sana,
Anakauli za kebehi, majivuno na kujiskia Sana.
Uyu jamaa anachochea sana chuki ya wananchi dhidi ya serikali yao.
Sijajua wananchi wake uko jimboni kwakw wanazipokeaje kauli zake anazozitoa Kwenye media kila Mara.
TUNAKOELEKEA SIO KUZURI KWAKWELI