OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,183
- 103,681
"Baba wa Taifa ametawala kwa miaka 20+, Mwinyi miaka 10, Mkapa miaka 10, Kikwete miaka 10 hatukumwaga damu. Na mimi katika miaka 5 niliyotawala sikumwaga damu! Amani na usalama wa Watanzania ni kitu kikubwa, usiombe vita ni mbaya." -- Dkt. John Magufuli akiwa Kawe jana tarehe 14.
Nini maana ya kauli hii? Damu inamwagikaje yaani? Kwamba akiishia miaka mitano kutakuwa na umwagaji damu?
Tujadili kwa kina sana
Nini maana ya kauli hii? Damu inamwagikaje yaani? Kwamba akiishia miaka mitano kutakuwa na umwagaji damu?
Tujadili kwa kina sana