Mwinjilist mtume nabii
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 2,437
- 1,097
mgombea urais wa ccm magufuli mara nyingi amekuwa akiongea maneno ambayo mm naona kama anaipinga au kuishutumu serikali ya awamu ya 4 pale anaposema:
>nashangaa kuona akina mama wajawazito wanalala chini
>vijana hawana ajira
>wanafunzi hawana madawati nk.
je, hapo si kuonyesha kuwa rais jk hajafanya kitu??
ANATAKIWA ASEME HIVI:
>kwenye afya serikali imefikia hapa,na mimi nitafanya haya na haya
>kwny elimu awamu ya 4 imefikia hapa, na mimi nitafanya haya na haya.
LAKINI KWA JINSI ANAVYOONGEA MIMI KAMA MCHUNGAJI NAONA KAMA ANAJIKOSOA NA KUIKOSOA SERIKALI.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
>nashangaa kuona akina mama wajawazito wanalala chini
>vijana hawana ajira
>wanafunzi hawana madawati nk.
je, hapo si kuonyesha kuwa rais jk hajafanya kitu??
ANATAKIWA ASEME HIVI:
>kwenye afya serikali imefikia hapa,na mimi nitafanya haya na haya
>kwny elimu awamu ya 4 imefikia hapa, na mimi nitafanya haya na haya.
LAKINI KWA JINSI ANAVYOONGEA MIMI KAMA MCHUNGAJI NAONA KAMA ANAJIKOSOA NA KUIKOSOA SERIKALI.
MUNGU IBARIKI TANZANIA