mpemba mbishi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,132
- 185
Binafsi siwezi kutoa tamko kwani sijamsikia wala kupata maelezo yeyote kuhusiana na hili. Lakini hata kama ni kweli Jussa katamka hili, litakua si tukio la mwanzo kwa wanasiasa wa Tanzania. Tumeshuhudia uchaguzi mkuu wa 2010 Viongozi wa CHADEMA wakitamka matamshi mengi tu yanayoashiria UDINI! Lakini mimi naamini 'issue' hii ni ule msemo; "give dog a bad name and kill it". Na pia ni miongoni mwa mambo munayoyazua na kuyakuza nyinyi Watanganyika (CHADEMA) ili mutugawanye Wazanzibari na badala yake tusahau mapambano yetu ya kutaka kuileta Zanzibar iliyo HURU. Hamutupati tenaaaaaa. Zanzibar Daima, Am proud with happiest to be Zanzibari!