Mbaha
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 697
- 73
Hivi kwa nini hatuandamani kuonesha kukerwa kwetu na hawa MAFISADI!!!??? What's wrong with us??!!! Tatizo letu hasa ni nini??!! Are we bewitched or something???!!! Hawa watu wataendelea "kuhomola" nchi bila misukosuko hadi lini? Au tunataka wajukuu zetu waje kufukua makaburi yetu kwa hasira!!? Mimi nafikiri kuna haja ya kubadilika... tena kwa kasi!! Tuandamane!!!... kuonesha kutoridhika kwetu na huu 'upopobawa' wanaotufanyia!!! Ikiwa wenzetu Zambia wanaandamana kwa bei ya mkate kupanda kwa nini sisi hatufanyi hivyo... kwa Shs billioni 185 za sisi walala hoi?!!! 'A hard earned money!!??' Nadhani wakati umefika kwa sisi kuandamana kumuunga mkono Waziri Sitta!! Tutaendelea kuwatoa kafara viongozi wazuri kama yeye hadi lini??!!!("How long shall they kill our prophets, while we stand aside and look???" - Bob Marley). Mchango wetu sisi kama Watanzania wenye uchungu ni nini katika hilo alilolianzisha Waziri SITTA???!..(i.e. Mapambano dhidi ya UFISADI)????!! Ndugu zangu "Acitons speaks louder than WORDS!!!!" Kuna haja ya kuandamana kumuunga mkono WAZIRI SITTA!!!.... 'That will be a clear message to MAFISADI... that we can't take the shit no more!!!..'