prs
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 2,642
- 3,368
UVCCM haiwezi kuwachagulia Wa-Tanzania Rais...Hayo ni maoni yao binafsi..kwani Kaskazini siyo Wa-Tanzania??
Hao viongozi wote CCM wanao wania nafasi..Sioni kama wana-Majibu ambayo Mkuu wa sasa Jk hana..
Wamefanya kazi chini ya uongozi wake na wameishia kumuaibisha..
Jibu ni CDM pekee..
Hao viongozi wote CCM wanao wania nafasi..Sioni kama wana-Majibu ambayo Mkuu wa sasa Jk hana..
Wamefanya kazi chini ya uongozi wake na wameishia kumuaibisha..
Jibu ni CDM pekee..