johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,898
- 141,836
Hii kauli ya " patachimbika" au " hapatatosha" mgombea urais wa CHADEMA Tundu Lisu amekuwa akiirudia mara kwa mara na sijawasikia NEC wakisema chochote.
Je, ni msamiati wa kisheria au ni mkwara kama mikwara mingine ya vijiweni?
Ufafanuzi Tafadhali, amani ni tunu ya taifa.
Maendeleo hayana vyama!
Je, ni msamiati wa kisheria au ni mkwara kama mikwara mingine ya vijiweni?
Ufafanuzi Tafadhali, amani ni tunu ya taifa.
Maendeleo hayana vyama!