Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Mhe shimiwa Rais alisimama mwezi baada ya kuapishwa na kuahidi kuwa Serikali yake itaanza kuwalipa wastaafu wa PSSF kila mwezi ili kupunguza uwingi wa wastaafu hao na hii ndio dhamira yake, leo Msemaji wa Serikali akitoa taarifa na ufafanuzi kuhusu maswala mbali mbali Msigwa kaja na mpya anasema ni baada ya miezi 6 ndio watakuwa wanalipwa, suala la utekelezwaji wa Kauli ya Rais haujafanyiwa kazi, Swali ni je zipo kauli anazozitoa Rais zenye uzito na zingine zisizo na uzito hadi wasemaje wa serikali wanakuwa wanashindwa kufafanua.
Tutaona na tutasikia mengi muhimu na yasiyo ya muhimu.
Tutaona na tutasikia mengi muhimu na yasiyo ya muhimu.