4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 5,970
- 6,772
Uyo mwendazake hakuna tafuna maneno kalikoroga Taifa mpaka Basi,Ukijadili jambo huku unaongozwa na chuki huwezi kuuona ukweli. Hilo deni unalodai limeongezeka hadi trilli 70 kwani JPM alikuta deni likiwa zero? Awamu za Mwinyi, Mkapa na Kikwete madeni yao pamoja na riba umejumlisha na kutoa kabla ya kusema JPM amekopa ngapi? Umeoanisha na gharama za miradi aliyokopea hela ukaona hazitally?
Juzi hapa mmelalamika kutozwa kodi ya majengo kwa njia ya luku sh. 12,000 tu wakati hicho ni kiasi kidogo ambacho JPM ndiye aliyekishusha kutoka wastani wa elfu 30 kwa nyumba za mbavu za mbwa hadi laki tano na milioni zilizokuwa ndio kodi za majemgo kabla JPM hajaingia madarakani. Hata nafuu hiyo iliyoletwa na JPM huioni?
JPM ameacha marekebusho katika sekta ya madini ambapo sasa nchi inafaidika zaidi na mapato ya madini kuliko alivyokuta kutokana na mikataba mibovu aliyorithi.
Umeme wa Stiglers huko Rufiji aliamua kujenga baada ya kuona gesi sio yetu tena na ile mikataba kuipindua ni vigumu kwa jinsi ilivyosukwa hivyo badala ya kuendelea kuibiwa kwa kuuziwa gesi ya umeme kwa bei juu bora tuwe na chanzo chetu wenyewe cha bei nafuu na sasa wajanja wanataka kuturudisha huko wenye kutegemea umeme ghali wa gesi.
Kazi za JPM zitabakia classic katika nchi hii hata mfanyaje hamuwezi kupindua.
Nakubali deni lingine kalikuta,ila aisee eti ndani ya miaka mitano tir 40, hivi pesa zote alikua anapeleka wapi maana hata miradi aliyoanzisha mikubwa ipo inamuumiza kichwa bi mkubwa, bora angemaliza reli tujue moja,au Bwawa na Nyerere tujue,
Ila tunashukuru katuachia uwanja wa chato,
Aliamin Tz anaweza kuifamya Dubei KWa wakati MMOJA, that miradi Mingi ipo nusu nusu,
Ila Bado naungana na Nape kukagua pesa izi na matumizi tir 40 nyingi sana