Kauli ya Rais Mstaafu Jakaya Kikwete ni Jiwe la Gizani!

Trust None

JF-Expert Member
Feb 12, 2018
1,260
4,415
Katika uzinduzi wa Harambee ya kuichangia YANGA, JK ametoa kauli zifuatayo katika hotuba yake:

..."Na mkiwa kwenye Uongozi wa serikali, kila timu inakuhusu. Utakuwa Kiongozi mwenye akili mbaya ukiwa kwenye uongozi unatumia ushabiki wako wa mpira kukandamiza timu nyingine"...

..."Hii ni kwasababu hata wale wa timu isiyokuwa yako , Kiongozi wao ni wewe"...

..."Kuna wakati prof. Sarungi alikuwa waziri wa michezo, Kuna wakati Juma Kapuya alikuwa waziri wa michezo; hawa wote ni Simba kindakindaki, hawa wote hawakutumia nafasi hiyo kukandamiza timu ya Yanga, Kwasababu wangefanya hivyo ingebidi tutafute waziri mwingine ashughulike na yanga"...


Kauli hizi kwa uchambuzi wa kina, zina maana kubwa katika siasa za uongozi wa awamu ya tano. Unaweza dhani kaongelea mpira wa miguu kumbe kampiga mtu dongo.
 
Nampenda na kumuheshimu Rais wetu mzee wetu mstaafu..

Lakini kama muda wake ulivyokwisha inamana kila jambo linaukomo wake, kwa sasa tuna mfumo mpya wakwake ulishapitwa na muda..

Kwanza kuombaomba ni fikra za kimaskini/tegemezi n shifting the blame ya failure zenu kama timu..
Sasa sijui nikipi bora kuwekeza au kutembeza bakuli kuomba kila msimu..

Awamu ya 5 bila ubunifu utachakaa tuu kama yanga..
 
Nampenda na kumuheshimu Rais wetu mzee wetu mstaafu..

Lakini kama muda wake ulivyokwisha inamana kila jambo linaukomo wake, kwa sasa tuna mfumo mpya wakwake ulishapitwa na muda..

Kwanza kuombaomba ni fikra za kimaskini/tegemezi n shifting the blame ya failure zenu kama timu..
Sasa sijui nikipi bora kuwekeza au kutembeza bakuli kuomba kila msimu..

Awamu ya 5 bila ubunifu utachakaa tuu kama yanga..
Mwenyekiti wa ccm na Rais unapokandamiza wafuasi vya vyama mbadala
 
Katika uzinduzi wa Harambee ya kuichangia YANGA, JK ametoa kauli zifuatayo katika hotuba yake:

..."Na mkiwa kwenye Uongozi wa serikali, kila timu inakuhusu. Utakuwa Kiongozi mwenye akili mbaya ukiwa kwenye uongozi unatumia ushabiki wako wa mpira kukandamiza timu nyingine"...

..."Hii ni kwasababu hata wale wa timu isiyokuwa yako , Kiongozi wao ni wewe"...

..."Kuna wakati prof. Sarungi alikuwa waziri wa michezo, Kuna wakati Juma Kapuya alikuwa waziri wa michezo; hawa wote ni Simba kindakindaki, hawa wote hawakutumia nafasi hiyo kukandamiza timu ya Yanga, Kwasababu wangefanya hivyo ingebidi tutafute waziri mwingine ashughulike na yanga"...


Kauli hizi kwa uchambuzi wa kina, zina maana kubwa katika siasa za uongozi wa awamu ya tano. Unaweza dhani kaongelea mpira wa miguu kumbe kampiga mtu dongo.


Haya wanafasihi simulizi na andishi
 
Katika uzinduzi wa Harambee ya kuichangia YANGA, JK ametoa kauli zifuatayo katika hotuba yake:

..."Na mkiwa kwenye Uongozi wa serikali, kila timu inakuhusu. Utakuwa Kiongozi mwenye akili mbaya ukiwa kwenye uongozi unatumia ushabiki wako wa mpira kukandamiza timu nyingine"...

..."Hii ni kwasababu hata wale wa timu isiyokuwa yako , Kiongozi wao ni wewe"...

..."Kuna wakati prof. Sarungi alikuwa waziri wa michezo, Kuna wakati Juma Kapuya alikuwa waziri wa michezo; hawa wote ni Simba kindakindaki, hawa wote hawakutumia nafasi hiyo kukandamiza timu ya Yanga, Kwasababu wangefanya hivyo ingebidi tutafute waziri mwingine ashughulike na yanga"...


Kauli hizi kwa uchambuzi wa kina, zina maana kubwa katika siasa za uongozi wa awamu ya tano. Unaweza dhani kaongelea mpira wa miguu kumbe kampiga mtu dongo.
tatiza awamu yatano imajaa wapumbavu ukiwambia kwa mafumbo mepesi kama haya hawawezi kuelewa mpaka uwambie bila kumungunya mango. yaani bila yanga hakuna simba na bila upizani imala hakuna chama tawala.
 
Nampenda na kumuheshimu Rais wetu mzee wetu mstaafu..

Lakini kama muda wake ulivyokwisha inamana kila jambo linaukomo wake, kwa sasa tuna mfumo mpya wakwake ulishapitwa na muda..

Kwanza kuombaomba ni fikra za kimaskini/tegemezi n shifting the blame ya failure zenu kama timu..
Sasa sijui nikipi bora kuwekeza au kutembeza bakuli kuomba kila msimu..

Awamu ya 5 bila ubunifu utachakaa tuu kama yanga..
Kabisa yaani ni kuwa mbunifu hapo ndio watu tunaumiza vichwa mzee anataka watu tuchakate vichwa huku sisi wananchi tunataka tuendelee na mazoea.
 
..."Hii ni kwasababu hata wale wa timu isiyokuwa yako , Kiongozi wao ni wewe"...
Ni kweli, ila wakati wa uongozi wako kuna watu walikuwa hawashikiki, wengine walitolewa utumbo hadharani japokuwa kiongozi wetu ulikuwa ni wewe.
 
Back
Top Bottom