oncogene
JF-Expert Member
- Aug 30, 2016
- 306
- 157
Alikuwa anatania tu"Kuna watu nchi hii wanaishi kama malaika nawaahidi nitawashusha wote waishi kama mashetani"
Nimenukuu tu msiniite mchochezi na huko ndipo tunaelekea tutaanza kupata mlo mmoja kwa siku na maji safi na huduma bora itakuwa anasa