Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
Chama tawala CCM kimehusishwa katika uamuzi wa Rais John Pombe Magufuli wa kusitisha bomoa bomoa mjini Mwanza.
Sababu ya kwanza iliyotolewa ni kwamba wahusika pamoja na kukiuka sheria walimpa kura na kumpa Urais hivyo wasibomoleshwe!
Sababu ya pili ni kwamba serikali ya Magufuli ina huruma hivyo isichukue maamuzi yatakayowaumiza hao wananchi.
Sababu ya tatu ni kwamba chama cha CCM ina "human face" na kwamba CCM ndicho chama pekee chenye human face.
Maswali: Kama Wananchi, tuutafsirije huu ukimya wa CCM? Je uamuzi huu wa serikali una baraka za CCM? Je hii huruma ni kwa watu waliompa Urais peke yao? Je hiyo human face haipo kwa walimnyima kura?