Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,395
Habari wanaJF,
Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameandika kupitia ukurasa wa wake wa Twitter kuhusu ugunduzi wa gesi ya Helium (He) na kutoa wito kwa wanasheria, wachumi na wataanzania wote.
Nukuu za Rais Magufuli hizi hapa;
Tunamshukuru Mungu Tanzania tumegundua gesi aina ya Helium(He),wito wangu kwa wachumi,wanasheria na watanzania wote kwa ujumla tujipange.
Ugunduzi huu utuelekeze kujipanga hasa ktk eneo la mikataba yetu ili rasilimali hii adimu isaidie kuujenga uchumi wetu.
Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameandika kupitia ukurasa wa wake wa Twitter kuhusu ugunduzi wa gesi ya Helium (He) na kutoa wito kwa wanasheria, wachumi na wataanzania wote.
Nukuu za Rais Magufuli hizi hapa;
Tunamshukuru Mungu Tanzania tumegundua gesi aina ya Helium(He),wito wangu kwa wachumi,wanasheria na watanzania wote kwa ujumla tujipange.
Ugunduzi huu utuelekeze kujipanga hasa ktk eneo la mikataba yetu ili rasilimali hii adimu isaidie kuujenga uchumi wetu.