Kauli ya Rais Magufuli kuhusu kusajili line za simu: Mwanaharakati ampinga na kuiita Tanzania "Fingerprints Country"

Ni vyema ungeuliza tu na kuelimishwa kuliko kuja na kejeli wakati bado yu mjinga. Kwanza, kuna tofauti ya kuchukua fingerprint na kuhakiki fingerprints, kinacho fanyika saivi ni kuhakiki ili kuhakikisha kitambulisho kimoja cha NIDA hakitumiwi na watu wawili.

Makampuni ya simu yanalipia kwa kila simu card NIDA kwa kupata huu uhakiki, kinachofanyika ni sawa tu unapopita airport wata scan passport yako na kuhakiki ni wewe kwa kutumia fingerprint na au facial recognition, nimekupa elimu ya bure kaelimishe na wewe nyumbu wenzako angalau mpinge mkiwa na uelewa sio kama hivi unavyo onyesha ujinga wako.

Don't be naive, unaleta hoja ya kitoto ili kujionyesha kama una hoja ya maana kumbe upuuzi mtupu. Kitambulisho kimoja cha nida kikitumiwa na watu wawili hivyo uhakiki utaupata kwenye fingerprint za line ya simu? Kama inawezekana watu tofauti kutumia kitambulisho cha nida watashindwa nini kusajili line ya simu kwa mbinu hiyo hiyo? Fahamu kuna mtu mmoja anatumia line zaidi ya moja ya simu, pia fahamu kuna line za simu zinatumika na kampuni, lakini kampuni haina fingerprint hivyo mtu ndio anatumika kusajili line hiyo. Rudi shule ukajifunze logic, sio huu utoto ulioleta hapa.
 
kuna watz mnaamini kufika ama kujua ulaya ni sawa na kuujua ufalme wa mbinguni. ..

Sent using Jamii Forums mobile app

Acha kutaka kukejeli ili upoteze mantiki ya mleta post, rais katoa mfano wa ulaya ambapo hana uzoefu napo wala hajawahi kukaa, katokea mtu anayeishi huko rais alipotolea mfano kwamba hakuna kitu kama hicho. Umeona rais kaongopa, sasa unaokoa jahazi kwa kukejeli ili uue soo.
 
Don't be naive, unaleta hoja ya kitoto ili kujionyesha kama una hoja ya maana kumbe upuuzi mtupu. Kitambulisho kimoja cha nida kikitumiwa na watu wawili hivyo uhakiki utaupata kwenye fingerprint za line ya simu? Kama inawezekana watu tofauti kutumia kitambulisho cha nida watashindwa nini kusajili line ya simu kwa mbinu hiyo hiyo? Fahamu kuna mtu mmoja anatumia line zaidi ya moja ya simu, pia fahamu kuna line za simu zinatumika na kampuni, lakini kampuni haina fingerprint hivyo mtu ndio anatumika kusajili line hiyo. Rudi shule ukajifunze logic, sio huu utoto ulioleta hapa.
Mpaka sasa kuna laini kibao zinazouzwa mitaani zimesajiliwa kwa finger print.!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka sasa kuna laini kibao zinazouzwa zimesajiliwa mitaani kwa finger print.!

Sent using Jamii Forums mobile app

Haha, halafu mtu anasema kusajili line za simu kwa finger print Ni kwa ajili ya usalama! Wale wahuni waliovaa suruali za mlegezo wanaweza kutunza siri gani kwa fingerprint? Hicho kitendo tu cha hizo line kusajiliwa kwa fingerprint kiholela, kunaondoa maana halisi ya usalama wa hizo fingerprint.
 
Don't be naive, unaleta hoja ya kitoto ili kujionyesha kama una hoja ya maana kumbe upuuzi mtupu. Kitambulisho kimoja cha nida kikitumiwa na watu wawili hivyo uhakiki utaupata kwenye fingerprint za line ya simu? Kama inawezekana watu tofauti kutumia kitambulisho cha nida watashindwa nini kusajili line ya simu kwa mbinu hiyo hiyo? Fahamu kuna mtu mmoja anatumia line zaidi ya moja ya simu, pia fahamu kuna line za simu zinatumika na kampuni, lakini kampuni haina fingerprint hivyo mtu ndio anatumika kusajili line hiyo. Rudi shule ukajifunze logic, sio huu utoto ulioleta hapa.
Acha kuwa na kichwa kigumu na kuleta ujuaji wakati ni mjinga, kaka yako akienda kusajili SIM card kwa kutumia kitambulisho chako wao wana hakiki vipi kuwa sio yeye anayemiliki hicho kitambulisho, nimekutolea mfano mwepesi wa Airport, kwa nini baada ya ku scan kitambulisho chako bado wana hakiki kwa fingerprint na au facial recognition bado unaleta ubishi wa kijinga. Tafuta nyumbu mwenzio basi muendelee kujazana ujinga maana ndicho unachotaka kusikia.
 
Unajua JPM kaishi nchi ngapi nje?
Nakutajia Canada.. fanya homework kwa the rest....
wewe acha kutetea washamba wanaojifanya niliishi nchi nyingi ulaya... so what?
Acha kutaka kukejeli ili upoteze mantiki ya mleta post, rais katoa mfano wa ulaya ambapo hana uzoefu napo wala hajawahi kukaa, katokea mtu anayeishi huko rais alipotolea mfano kwamba hakuna kitu kama hicho. Umeona rais kaongopa, sasa unaokoa jahazi kwa kukejeli ili uue soo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemkoti mwanaharakati mmoja katika ukurasa wake wa facebook ameandika yafuatayo:-


Nimesikiliza video na nimesoma Gazeti la Mwananchi kuhusu Rais wa Tanzania, John Magufuli ambaye amefanya usajili wa laini yake ya simu kwa kutumia alama za vidole.

Kadhalika, amewasisitiza watanzania wote wahakikishe laini zao za simu zinasajiliwa kwa alamu za vidole (fingerprints) kama ilivyoelekezwa na TCRA. Ni kwa maslahi yao.

Hata hivyo, Rais Magufuli ameongeza siku 20 kwa watanzania ambao watashindwa kusajili laini zao kwa alama za vidole ifikapo Desemba 31. Watumie muda wa nyongeza, kufanya hivyo.

"Kwa wale watanzania ambao wengine walikuwa wamelazwa hospitalini wamechelewa wengine labda walikuwa wanasherehekea wamejisahau kusajili laini zao, wapo wengine walikuwa hawajaelewa maana ya kusajili kupitia wito huu watakuwa wameelewa."

"Nimeongeza siku 20 kuanzia tarehe moja (mosi) mwezi wa kwanza mpaka tarehe 20 mwezi wa kwanza...lakini ikifika tarehe 20 mwezi wa kwanza tusilaumiane, " alisema Rais Magufuli.

Alisema usajili wa laini za simu upo kote duniani: "Hata ungeenda ulaya (Europe) na ukienda ulaya lazima utoe paspoti yako ili kusudi upate laini yako isajiliwe."

Ameendelea kuandika na kubainisha kua:
Usajili wa simu wa Ulaya haufanani na usajili mpya wa simu wa Tanzania, ni tofauti sana. Ulaya matumizi ya 'fingerprints' kwa kila jambo, hakuna isipokuwa masuala ya dharura, kama uhalifu.

Lakini Tanzania sasa, kitambulisho cha Mtazania fingerprints, paspoti fingerprints, kusafiri fingerprints, zoezi la kupiga kura fingerprints, simu za mkononi fingerprints, kila jambo. Tanzania bora iitwe 'fingerprints country'

Wasaidizi wa Rais Magufuli, wajaribu kumpa picha kuhusu usajili wa simu kwa mataifa ya nje. Wamfahamishe namna ya usajili unavyokuwa...

Naomba kuwasilisha:
nchi kibao duniani zinatumia fingerprints kupata simcard...
IMG-20191228-WA0027.jpeg
IMG-20191228-WA0028.jpeg
IMG-20191228-WA0023.jpeg
IMG-20191228-WA0024.jpeg
IMG-20191228-WA0025.jpeg
IMG-20191228-WA0026.jpeg
IMG-20191228-WA0022.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila jambo analofanya Mhe. Rais ni kwa maslahi mapana kwa nchi yetu na itabaki kumbukumbu ya kudumu kwa vizazi vingi vijavyo. Wazungu wameanza kuelewa uzalendo wa Rais Magufuli kwa nchi hii si wa kubezwa
Nimekaa italy 5 yrs haya Mambo ya usajili wa Aina hii haupo kama Ni kudhibiti uhalifu mafia gang ndio asili yake cicily italy ila wameidhoofisha 90% bila finga puli
 
Acha kutaka kukejeli ili upoteze mantiki ya mleta post, rais katoa mfano wa ulaya ambapo hana uzoefu napo wala hajawahi kukaa, katokea mtu anayeishi huko rais alipotolea mfano kwamba hakuna kitu kama hicho. Umeona rais kaongopa, sasa unaokoa jahazi kwa kukejeli ili uue soo.
baadhi ya nchi zinazotumia fingerprint kununua simcard

Akiongea mzungu kuhusu Tanzania wote tunaabudu na kudhani kuwa ni weakness
IMG-20191228-WA0027.jpeg
IMG-20191228-WA0028.jpeg
IMG-20191228-WA0023.jpeg
IMG-20191228-WA0024.jpeg
IMG-20191228-WA0025.jpeg
IMG-20191228-WA0026.jpeg
IMG-20191228-WA0022.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
what is kiholela hapo boss?

Kutokea few wajinga wakasajiri wakauza sio disqualification ya lengo zima..

mwenye akili timamu hawezi kufanya hivyo kwakuwa in case ya anything utakamatwa uliye sajiri....

pingapinga sometimes inapofusha busara zetu
Haha, halafu mtu anasema kusajili line za simu kwa finger print Ni kwa ajili ya usalama! Wale wahuni waliovaa suruali za mlegezo wanaweza kutunza siri gani kwa fingerprint? Hicho kitendo tu cha hizo line kusajiliwa kwa fingerprint kiholela, kunaondoa maana halisi ya usalama wa hizo fingerprint.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom