Tatizo lako bwana mdogo ni ujinga ulio nao! Unajaribu ku-challenge kauli ya Prof wakati huna hoja. Awali ulitaka kujua kama yeye Assad ni miongoni mwa hao 60% aliosema kuwa ni wajinga. Yaani una mashaka na ujuzi wa Assad.uhalali wa kauli ya asadi,na wewe kwenda nayo bila kujua maana yake inakubeba mpaka wewe.
Nimekuuliza kama mtafiti ni sehemu ya "sample" au "study population" hutaki kujibu matokeo yake umeng'ang'ania mimi sijui kutumia simu kisa nimekosea herufi katika kuandika.
Sasa niambie ulivyoandika "unamiini" nitakosea nikisema wewe ni mjinga wa kutumia simu?