Wasomi wetu watia aibu sana. Prof. Bisanda, Makamu wa Chuo Kikuu Huria (OUT) anahojiwa na BBC ni kwa nini ameamua kuwataka wanafunzi wake wabakie nyumbani kusoma kwa mtandao?
"Hilo haliwahusu, mimi nimetoa taarifa hiyo kwa wanafunzi wangu tu na wafanyakazi wa Chuo kuhusiana na Corona, haliwahusu si lenu!"
Mashaka! Tujikinge!
Kuhusu waraka, soma > Chuo Kikuu Huria cha Tanzania(OUT) Chatahadharisha wanafunzi na wafanyakazi wake dhidi ya COVID19 NA COVID21
"Hilo haliwahusu, mimi nimetoa taarifa hiyo kwa wanafunzi wangu tu na wafanyakazi wa Chuo kuhusiana na Corona, haliwahusu si lenu!"
Mashaka! Tujikinge!
Kuhusu waraka, soma > Chuo Kikuu Huria cha Tanzania(OUT) Chatahadharisha wanafunzi na wafanyakazi wake dhidi ya COVID19 NA COVID21