Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Ana hofu kuu.
Hiyo inaitwa msg according to "context"
Yupo sawa, asijelimwa barua na yule mama
Hata hivyo atatumbuliwa tuuu!Woga wake hautamuokoa.Analinda ajira yake, what would you do if it were you?
🤣🤣🤣Ana hofu kuu.
Kama hii ndiyo Sura yake wala sishangai kwa Maelezo ( Majibu ) yake ya Kipuuzi aliyoyatoa. Nawaonea mno Huruma Wanafunzi waliofundishwa nae.Wasomi wetu watia aibu sana. Prof. Bisanda, Makamu wa Chuo Kikuu Huria (OUT) anahojiwa na BBC ni kwa nini ameamua kuwataka wanafunzi wake wabakie nyumbani kusoma kwa mtandao?
"Hilo haliwahusu, mimi nimetoa taarifa hiyo kwa wanafunzi wangu tu na wafanyakazi wa Chuo kuhusiana na Corona, haliwahusu si lenu!"
Mashaka! Tujikinge!
Kuhusu waraka, soma > Chuo Kikuu Huria cha Tanzania(OUT) Chatahadharisha wanafunzi na wafanyakazi wake dhidi ya COVID19 NA COVID21