Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,762
- 4,576
Tumesikia mkuu wa mkoa wa Dar mtukufu Paul Makonda akimwaga sifa kwa mkurugenzi wa Azam TV ambaye pia aliwahi kuwa mkurugenzi wa TBC ndugu Tido Mhando.
Kauli ya mtukufu Paul Makonda ilionesha kutoridhika kwake kuona mtu mwenye ubunifu kamaTido Mhando anawafaidisha Azam.
Maswali:
1. Dr Ryoba anawashiwa taa nyekundu?
2. Mtukufu Paul Makonda havutiwi na ubunifu wa mtaalamu na gwiji wa fani ya habari Dr Ryoba?
3. Ubunifu wa Dr Ryoba pale TBC wa kuanzisha vipindi vya Tunatekeleza, Safari ya Dodoma, live coverage ya matukio ya CCM, wasanii kutembelea ujenzi wa reli, hotuba za Mh sana nk yeye (Mtukufu Paul Makonda ) hajavutiwa hadi avutiwe na TV za nje?
4. Anapata wapi muda wa kuangalia Azam TV na kuacha kuangalia TV ya kizalendo (TBC1)
Asante
Kauli ya mtukufu Paul Makonda ilionesha kutoridhika kwake kuona mtu mwenye ubunifu kamaTido Mhando anawafaidisha Azam.
Maswali:
1. Dr Ryoba anawashiwa taa nyekundu?
2. Mtukufu Paul Makonda havutiwi na ubunifu wa mtaalamu na gwiji wa fani ya habari Dr Ryoba?
3. Ubunifu wa Dr Ryoba pale TBC wa kuanzisha vipindi vya Tunatekeleza, Safari ya Dodoma, live coverage ya matukio ya CCM, wasanii kutembelea ujenzi wa reli, hotuba za Mh sana nk yeye (Mtukufu Paul Makonda ) hajavutiwa hadi avutiwe na TV za nje?
4. Anapata wapi muda wa kuangalia Azam TV na kuacha kuangalia TV ya kizalendo (TBC1)
Asante