Aje kutafuna trilion 1.5 au 10% ujenzi wa chato Airport bila idhini ya Bunge?NAWAKUMBUSHA TIDO ALIONDOKA KIPINDI CHA CCM YA ZAMANI SAIV CCM MPYA TANZANIA MPYA. ..
TIDO RUDI NYUMBANI KUMENOGA
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo anamponda Dr. Ryoba kwa sababu aliteuliwa na nape
'SAIV' ndio neno gani katika kiswahili? JF kweli imeingiliwa, hizi ajira za Polepole ni shida, yaani kakosa kabisa watu au amaokoteza ndugu zake ambao hata kuandika ni shida?NAWAKUMBUSHA TIDO ALIONDOKA KIPINDI CHA CCM YA ZAMANI SAIV CCM MPYA TANZANIA MPYA. ..
TIDO RUDI NYUMBANI KUMENOGA
Sent using Jamii Forums mobile app
Mgema akisifwa sana tembo hulitia maji.mkuu ccm walimshurutisha mzee wa watu bila aibu, leo wanamtaka tena! kweli nyani haoni kundule.
Hiyo hela una uhakika imetafunwa na una uwezo wa kutuonesha ushaidi? Vingine kama hamna ushaidi muwe mnakaa kimyaAje kutafuna trilion 1.5 au 10% ujenzi wa chato Airport bila idhini ya Bunge?
Uwe unasoma mada na kuelewa!
Baadhi ya maswali yako yana majibu ya wazi sana. Mfano hilo swali la 4; WanaCCM wengi hawaangalii hiyo TV na hata madazeti yao Uhuru na Mzalendo yanaishi kwa fedha za kodi zetu.Tumesikia mkuu wa mkoa wa Dar mtukufu Paul Makonda akimwaga sifa kwa mkurugenzi wa Azam TV ambaye pia aliwahi kuwa mkurugenzi wa TBC ndugu Tido Mhando.
Kauli ya mtukufu Paul Makonda ilionesha kutoridhika kwake kuona mtu mwenye ubunifu kamaTido Mhando anawafaidisha Azam.
Maswali:
1. Dr Ryoba anawashiwa taa nyekundu?
2. Mtukufu Paul Makonda havutiwi na ubunifu wa mtaalamu na gwiji wa fani ya habari Dr Ryoba?
3. Ubunifu wa Dr Ryoba pale TBC wa kuanzisha vipindi vya Tunatekeleza, Safari ya Dodoma, live coverage ya matukio ya CCM, wasanii kutembelea ujenzi wa reli, hotuba za Mh sana nk yeye (Mtukufu Paul Makonda ) hajavutiwa hadi avutiwe na TV za nje?
4. Anapata wapi muda wa kuangalia Azam TV na kuacha kuangalia TV ya kizalendo (TBC1)
Asante