P.Chagonja alitoa tamko la kumshauri Mbowe apeleke ushahidi kwa Amiri Jeshi Mkuu kama hawaamini Polisi hii ina maana hawana namna nyingine ya kumpata mtuhumiwa hadi wategemee ushahidi wa Mbowe hata baada ya Serikali kutangaza dau la sh: 100 milioni? Kwa maana hiyo sasa jeshi la Polisi limeshindwa kazi maana hata kwenye video ya Lwakatare badala ya kufanya uchunguzi waliitegemea video ile? Kama jeshi la Polisi halijashindwa kazi na kama Chagonja si msemaji wa Jeshi la Polisi kwanini asijiuzulu au awajibishwe?