mayoscissors
JF-Expert Member
- Nov 24, 2009
- 975
- 471
Kujiuzulu haiwezi kamwe kuwa nje ya uwezo wa mtu mwenye utashi wake,kauli ya dr.Lucy Nkya kuwa kujiuzulu kuko nje ya uwezo wake ni kutuambia kaandika barua na bosi wake kamgomea kujiuzulu.
Mungu tuepushie mbali mgomo ila kama ukitokea maisha yatapotea hasa watoto wachanga na akina mama wajawazito kwani ndo msimu wa kuzaa kwa wingi na hakutakuwa na cha intern wala cha dr.bingwa!
Mungu tuepushe gharika hili.
Mungu tuepushie mbali mgomo ila kama ukitokea maisha yatapotea hasa watoto wachanga na akina mama wajawazito kwani ndo msimu wa kuzaa kwa wingi na hakutakuwa na cha intern wala cha dr.bingwa!
Mungu tuepushe gharika hili.