Bitabo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 1,900
- 687
Mangapi CCM wametuhumiwa nayo chadema hawajafuta kwa nini muhimu kufuta kauli katika hili tu??????????? JK dhaifu tulikataa kufuta.... haijakaa vizuri.
Mama Porojo naanza kuhisi una undugu na (Mh.) Sophia Simba. We kila siku unaongeaga pumba tuuuuuuuuuu.
Mnyika alisema kauli yake haifuti na akamwambia Ndugai kuwa hata kama atahitaji uthibitisho atampatia. Ndugai akaamua kumtoa nje. sasa ulitaka asemee kwenye gari yake nje?
huyu Mwigulu ni kiazi. wenzie wanaipigania CCM kwa step. akajifunze kwa Nape. Leo anaitetea CCM kesho anaiponda kidogo. Sasa yeye anatetea tuu mpaka upuuzi. Ukikutana nae mwambie, juzi wakati anaitupa bajeti ya upinzani alisema kwenye OC kuna na hela kwa ajili ya malalamiko ya Drs ili wasigome. jana bosi wake Pinda anasema ataenda mahakamani kuzuia mgomo.
huo ni zaidi ya udhaifu. nikitoa neno langu nahisi ntapigwa Ban.