Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
Chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema kimeitaka Serikali ithibitidhe ama kukanusha habari aliyoisema mbunge wa Iramba mashariki Mwigulu Nchemba aliyoitoa huko Dodoma kuwa wapinzani wanasukumwa na nchi za nje kuipinga bajeti ili kuleta machafuko nchini ili kuja kuchota mali asili zetu(gesi/madini et.c)Tamko Hilo limettolewa na John Mnyika mkurugenzi na habari akimtaka waziri Membe alithibitishe hilo Kama ndio kauli mbiu ya Serikali na chama ccm.
Source;gazeti la Majira
Source;gazeti la Majira