ligendayika
JF-Expert Member
- Aug 31, 2012
- 1,183
- 198
Namsikiliza Mh Murugo anasema kuwa kazi ya chama cha upinzani ni kupinga mipango ya maendeleo ya chaa tawala. kwa mujibu wa Murugo hiyo ni kazi ya wapinzani duniani kote. Kwangu mimi hiikauri si ya kweli. Ebh wenye akili wa JF ichambueni hii.