Kapo Jr
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 996
- 280
Wana jf,nakumbuka wakati wa vuguvugu la wafanyakazi wa serikalini kutangaza mgomo wengi mtakumbuka kauli ya mkuu wa nchi aliposema,'mie ndiye mwajiri mkuu kwa upande wa watumishi wa umma,mkimfuata mgaya mtapoteza ajira zenu na mgaya hamtamuona tena"..nawasilisha kwenu wana jf kwani kila nikitafakari nakosa muafaka mchango wenu muhimu,naona matukio ya kutisha yanatokea kila kukicha,tuijadili kiundani kauli hii.
MY TAKE..ushabiki haufai ili tulinde vizazi vyetu
MY TAKE..ushabiki haufai ili tulinde vizazi vyetu