Ngaliba Dume
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,710
- 3,669
Leo ktk ukurasa wake wa Facebook Mpoki ameandika "Kufauru ufauru wewe,Msuli upige wewe,halafu JKT wakupangie wao.Majanga"...hii kauli inakuja pengine ni kutokana na tangazo la JKT kuwataka vijana wote waliofauru kwa Div 1 na II kuripoti katika kambi 24/June/'13...kinyume cha hapo ni kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria...kwa mtazamo wa Mjuni Mpoki..je ni kweli JKT haina Tija kwa sasa?