Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
Tupeni list kamili ya walioshinda basi
la nimeipenda speech ya yule mama wa CAF, dah ki inglishi kina mgogoro wa wasomi w.....?
Huyu ndio kimeo kabisaaaaaa!!!!!!!!
la nimeipenda speech ya yule mama wa CAF, dah ki inglishi kina mgogoro wa hatari sana kwa wasomi wetu asee, hivi ingekuwaje kama bunge lingekuwa linaendeshwa kwa ki inglishi.............?
Not happy with some of our reps to eala. Anyway, its democracy. The poorest TZA Team ever to eala since 2001. No offence
Kama hii ni message ya ZZK anaboa, alitaka nani aende?
Wadau walipendekeza kuwa ifunguliwe kesi ya msingi kupinga CCM kutuchagulia wabunge wa upinzani, kwao waoalidhani ni vema upinzani wakachagua wabunge wao na si wabunge wa CCM Kutuchagulia wawakilishi wetu , ila sheria hizi za uchaguzi zikawa zinakinzana na hicho walichokuwa wakikisema. Na ndiyo maana wakapendekeza kesi ya msingi ifunguliwe, sasa sijui Kenya , Uganda, Burundi na hata Rwanda ni utaratibu gani wanautumia ili tuwapata wabunge wa Africa mash. hasa wa Upinzani Kuingia bunge hilo.
U re very correct mkuu,Dr Mndolwa alistahili kuwemo kwenye list!
Niliona picha ya Shyrose jana humu duh ndio wabunge wanaotuwakilisha huko! amevaa kichupi! na huyu Angela nae nasikia ni design hiyo hiyo ! mbona kazi ipo!
Kama hii ni message ya ZZK anaboa, alitaka nani aende?
Khaaa unajua hata mi sikuona kama nimekosea! instead of writing CUF i wrote CAF! This means i am addicted to football asee. Frakly speaking English is a disaster in Tanzania, we better decide to go with our Swahili or we do something about it."I come from CUF Mbeya. My dailly bread is contractor". Halafu tunabisha kwamba ki ingereza sio janga la kitaifa?