MNYISANZU
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 7,048
- 1,102
Unaelewa maana ya popo wewe gamba?popo ni ww acha kumtusi mh zitto
Unaelewa maana ya popo wewe gamba?popo ni ww acha kumtusi mh zitto
popo maana yake nini?.Unaelewa maana ya popo wewe gamba?
."Undefined creature"popo maana yake nini?.
huyu Anela Kizigha ndiyo poorest we have ever
Kwa sentensi ya kwanza nikapata maswali mengi kuhusu rushwa, Je kulikuwa na rushwa kwenye uchaguzi huu?maswali yapi hayo tukusaidie kupata majibu?
"Nafurahi na kujivuna kupiga kura zangu bila
ushawishi wa rushwa. Kuna walioshinda na
walioshindwa. Tuwasaidie tu walioshinda japo wengine?"
Nimeisoma kwenye twitter page yake asubuhi hii ikanipa maswali kidogo......
Zitto ni popo?
Kama hii ni message ya ZZK anaboa, alitaka nani aende?
Not happy with some of our reps to eala. Anyway, its democracy. The poorest TZA Team ever to eala since 2001. No offence
popo ni ww acha kumtusi mh zitto
zitto is absolutely right
kizigha ni kimeo
Bhanji ni kimeo kikuu
Murunya ni pure orthodox corrupt mongoose
sorry if i offend anyone
zitto is absolutely right
kizigha ni kimeo
Bhanji ni kimeo kikuu
Murunya ni pure orthodox corrupt mongoose
sorry if i offend anyone