Jamaa anaishi dunia ya pekee yake,pale ikulu yeye anaangalia tbc tu inayomsifia au? Mbona mweupe sana kwenye international issuesUlimi hauna mfupa kama alivyosema huko kwa wenzetu kuna Mamilion wameshakufa kwa Corona lakin mabunge yao yanaendelea
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameshacheki hali ya hewa na amegundua kuwa si njemaWakuu,
Akiwa anapokea Ripoti ya TAKUKURU na ile ya CAG, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh: John Pombe Joseph Magufuli, amesema Uchaguzi wa Mwaka huu uko pale pale. Na kwamba hakuna mtu anapenda kukaa Ofisini muda mrefu.
Maswali yangu kwa Wanabodi!
1. Hataki kusogeza mbele kwa kuwa anataka asigombee tena mwaka huu? Maana miaka mitano mingine ijayo nayo ni muda mrefu!
2. Anajua asogeze au asisogeze nafasi ya kuingia Ikulu ipo wazi kwake japo anafahamu tuko kwenye siasa ya vyama vingi? Kama yuko katika hili la pili, nini kinampa imani hiyo? Ni utendaji wake au zaidi ya hilo?
Nawasilisha kwa majadiliano.
Lugumya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kubadirika rangi kwa kinyoga ni kujilinda.Hana mpango wa kuongeza muda uliowekwa kikatiba.
kweli bora asepealivyovuruga uchumi na amani ya nchi bora hata ang’oke leo.
PohambaUlimi hauna mfupa kama alivyosema huko kwa wenzetu kuna Mamilion wameshakufa kwa Corona lakin mabunge yao yanaendelea
Sent using Jamii Forums mobile app
Anawateka wafuasi wake uchara ambao uwa wanamshangilia ili waanze kumsifia kwa mapambio kwamba ni rais wa wanyonge kumbe ni nyoka!
Kiufupi kesho tu utaanza kusikia mapambio na kaswida kutoka kwa misukule wake.
Madicteta wakiongoza maiti walio wengi upata raha sana.
Jumla ya wagonjwa pekee pekee, hata laki tano bado, itakuwaje waliofariki iwe kubwa?Fact check, huu ni uongo mkubwa sana, hata milioni moja hawajafika kwa dunia nzima
Ameshajitabiria hawezi kushinda, ivo ni lazima uchaguzi uje tumchague rais mzalendo namba moja Tanzania Tundu Antipas Lissu, yeye ameshajijua hawezi kupita