Lugumgya
JF-Expert Member
- Dec 10, 2019
- 629
- 1,997
Wakuu,
Akiwa anapokea Ripoti ya TAKUKURU na ile ya CAG, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh: John Pombe Joseph Magufuli, amesema Uchaguzi wa Mwaka huu uko pale pale. Na kwamba hakuna mtu anapenda kukaa Ofisini muda mrefu.
Maswali yangu kwa Wanabodi!
1. Hataki kusogeza mbele kwa kuwa anataka asigombee tena mwaka huu? Maana miaka mitano mingine ijayo nayo ni muda mrefu!
2. Anajua asogeze au asisogeze nafasi ya kuingia Ikulu ipo wazi kwake japo anafahamu tuko kwenye siasa ya vyama vingi? Kama yuko katika hili la pili, nini kinampa imani hiyo? Ni utendaji wake au zaidi ya hilo?
Nawasilisha kwa majadiliano.
Lugumya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akiwa anapokea Ripoti ya TAKUKURU na ile ya CAG, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh: John Pombe Joseph Magufuli, amesema Uchaguzi wa Mwaka huu uko pale pale. Na kwamba hakuna mtu anapenda kukaa Ofisini muda mrefu.
Maswali yangu kwa Wanabodi!
1. Hataki kusogeza mbele kwa kuwa anataka asigombee tena mwaka huu? Maana miaka mitano mingine ijayo nayo ni muda mrefu!
2. Anajua asogeze au asisogeze nafasi ya kuingia Ikulu ipo wazi kwake japo anafahamu tuko kwenye siasa ya vyama vingi? Kama yuko katika hili la pili, nini kinampa imani hiyo? Ni utendaji wake au zaidi ya hilo?
Nawasilisha kwa majadiliano.
Lugumya.
Sent using Jamii Forums mobile app