Abdul Nondo
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 515
- 2,873
Majibu ya mikopo kutoka kwa wazir.Mh.Mama Ndalichako.
1.TSNP tulikuwa tunapinga vyuo kudahili baadaye ,kusema Nafasi zimejaa Mfano.chuo cha mwenge university. Ambapo kama mnakumbuka tuliandika barua ya wazi ,kwa naibu wazir na akatatua tatizo hili leo ,tena Mh.wazir amekasirishwa saana na tabia za vyuo hivi.[HASHTAG]#tunakushukuru[/HASHTAG] Mh.wazir.
2.TSNP Tuliwahi kupinga mfumo wa vyuo kuzuia Wanafunzi kusaini fedha zao,za mkopo hadi wamalize usajili,na hili pia tuliwahi mueleza Naibu wazir wa elimu leo pia Mh.wazir ameonesha kukasirika sababu Makubaliano ya mkopo ni wanafunzi na serikali sio chuo,hivyo amekasirishwa na namna vyuo vinavyofanya.hivyo ni kazi ya viongozi wa wanafunzi vyuoni. kusimamia kauli ya Mh.wazir.[HASHTAG]#tunashukuru[/HASHTAG] Mh.wazir.
3.TSNP tulikuwa tunasemea saana na bado tunasemea saana,juu ya idadi ndogo ya wanafunzi mwaka wa kwanza kupewa mkopo wanafunzi elf.30 tuu, Mh.wazir amesema ndio ilikuwa lengo kutoa hao elf 30 hata kabla idadi ya waombaji haijajulikana .,huku mkurugenzi wa bodi Jana akisema hao elf 30 ndio waliochambuliwa na ndio wenye vigezo kati ya elf 61.Wazir anasema lengo ilikuwa wanafunzi elf 30 tuu.[HASHTAG]#hapa[/HASHTAG] sijaelewa [HASHTAG]#tukutane[/HASHTAG] J.mos
Abdul Nondo.
Mkurugenzi idara ya haki
Wajibu wa wanafunzi(TSNP).
0659366125
1.TSNP tulikuwa tunapinga vyuo kudahili baadaye ,kusema Nafasi zimejaa Mfano.chuo cha mwenge university. Ambapo kama mnakumbuka tuliandika barua ya wazi ,kwa naibu wazir na akatatua tatizo hili leo ,tena Mh.wazir amekasirishwa saana na tabia za vyuo hivi.[HASHTAG]#tunakushukuru[/HASHTAG] Mh.wazir.
2.TSNP Tuliwahi kupinga mfumo wa vyuo kuzuia Wanafunzi kusaini fedha zao,za mkopo hadi wamalize usajili,na hili pia tuliwahi mueleza Naibu wazir wa elimu leo pia Mh.wazir ameonesha kukasirika sababu Makubaliano ya mkopo ni wanafunzi na serikali sio chuo,hivyo amekasirishwa na namna vyuo vinavyofanya.hivyo ni kazi ya viongozi wa wanafunzi vyuoni. kusimamia kauli ya Mh.wazir.[HASHTAG]#tunashukuru[/HASHTAG] Mh.wazir.
3.TSNP tulikuwa tunasemea saana na bado tunasemea saana,juu ya idadi ndogo ya wanafunzi mwaka wa kwanza kupewa mkopo wanafunzi elf.30 tuu, Mh.wazir amesema ndio ilikuwa lengo kutoa hao elf 30 hata kabla idadi ya waombaji haijajulikana .,huku mkurugenzi wa bodi Jana akisema hao elf 30 ndio waliochambuliwa na ndio wenye vigezo kati ya elf 61.Wazir anasema lengo ilikuwa wanafunzi elf 30 tuu.[HASHTAG]#hapa[/HASHTAG] sijaelewa [HASHTAG]#tukutane[/HASHTAG] J.mos
Abdul Nondo.
Mkurugenzi idara ya haki
Wajibu wa wanafunzi(TSNP).
0659366125