Meitinyiku L. Robinson
JF-Expert Member
- Aug 29, 2011
- 412
- 90
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernad Membe kasema Tanzania haina tatizo na Jamhuri ya watu wa Sahara na inawaunga mkono. Nataka kujua kufahamu kauli hii ina afikiana na ile ya Kamati ya Mambo ya Nje Ulinzi na Usalama ama bado kuna jambo linahitaji ufafanuzi.
Naomba masahihisho ama kueleweshwa kwa lolote
Source TBC!
MEITINYIKU L. Robinson
Naomba masahihisho ama kueleweshwa kwa lolote
Source TBC!
MEITINYIKU L. Robinson