Kauli ya Mbunge ‘yabezwa’

nngu007

JF-Expert Member
Aug 2, 2010
15,862
5,797
a
bread_end.gif

KITAIFA
[h=1]
ico_plus.png
SHARE[/h]





nyambari.jpg

Na Diana Maningo

Posted Jumatano,Novemba28 2012 saa 10:11 AM

KWA UFUPI

“Kama imefikia hatua mbunge ambaye ni mwakilishi wa wananchi tena wa chama tawala akitaka kuandamana na wananchi kuchoma mgodi maana yake, Serikali imeshindwa kutatua matatizo ya wananchi” alisema Ngoto.



KAULI ya Mbunge wa Jimbo la Tarime ya hivi karibuni katika mkutano na wananchi mjini Tarime, Nyambari Nyangwine kuwa ataandamana na wananchi wake kutoka Tarime hadi Nyamongo kwenda kuchoma moto mgodi wa Africa Barrick Gold Mine, endapo mgodi huo utashindwa kuwalipa fidia wananchi waliofanyiwa tathmini ili kuhama maeneo yaliyojirani na mgodi yaibua mapya.

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilaya ya Tarime, Lucas Ngoto amemtaka Mbunge wa Jimbo hilo la Tarime, Nyambari Nyangwine awaongoze wananchi wakiwa na mapanga kwenda hadi Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii kudai X-Ray ambayo imekosekana katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime kwa muda wa miezi 8 hali inayowalazimu wagonjwa kwenda mikoa ya jirani na nchini Kenya kupata huduma hiyo.

Ngoto alisema kuwa hashangai kusikia Mbunge Nyangwine akitaka kuandamana na wananchi kwenda kuchoma moto mgodi kwa madai kuwa huenda mbunge huyo kafanya hivyo baada ya kugundua kuwa Serikali imeshindwa kutatua kero zinazowakabili wananchi hususani wa Nyamongo ambao walifanyiwa tathmini na mgodi kuyahama maeneo ambayo mpaka sasa hawajalipwa fidia.



Ngoto alisema kuwa kama kauli ya Mbunge Nyangwine ilikuwa ni ya uchochezi na kuhatarisha amani, kwani kama kiongozi alipaswa kuchukuliwa hatua za kisheria kwa kuwa aliongea mbele ya mkutano wa wananchi wa hadhara ambao ulihudhuliwa na viongozi mbalimbali wa Serikali huku walinzi wa mkutano huo wakiwa ni Polisi.


“Kama imefikia hatua mbunge ambaye ni mwakilishi wa wananchi tena wa chama tawala akitaka kuandamana na wananchi kuchoma mgodi maana yake, Serikali imeshindwa kutatua matatizo ya wananchi” alisema Ngoto.

Ngoto alimtaka mbunge huyo kabla ya kwenda kuuchoma mgodi, yeye kama mbunge awaongoze wananchi wakiwa na mapanga hadi Wizara ya Afya kudai X-Ray kwa madai kuwa kukosekana kwa huduma ya X-Ray Hospitali ya Wilaya ambayo imesababisha baadhi ya wagonjwa kupoteza maisha kwa kukosa huduma,huku wagongwa wengine wakitumia gharama kubwa kwenda kupata huduma ya X-Ray mikoa jirani na nchi ya Kenya.

“Tunamtaka mbunge kabla ya kwenda mgodini atuongoze wananchi tukiwa na mapanga yetu hadi Wizara ya Afya kudai X-Ray, miezi 8 sasa hakuna huduma hiyo, mimi kama kiongozi wa Chadema nimefuatilia hospitalini tunaambiwa X-Ray ni mbovu na wahusika wa matengenezo ni wizara ambayo inadaiwa na kampuni inayotengeza X-Ray zilizoko katika hospitali za Serikali,” alisema Ngoto.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa kipolisi Tarime/Rorya, Justus kamugisha alisema kuwa kwa upande wao kauli ya Mbunge Nyangine ya kuchoma moto mgodi haiwezi kuwaathiri kwa madai kuwa mbunge akifanya hivyo hatua za kisheria zitachukuliwa.

 
Asichome Mgodi dawa ajiuzulu ubunge na kuhama hilo lichama lake la CCM. Kwani matatizo yote ya nyamongo hayataisha bila kuwang'oa hawa wavaa nguo za kijani.
 
a
bread_end.gif

KITAIFA
ico_plus.png
SHARE








nyambari.jpg

Na Diana Maningo

Posted Jumatano,Novemba28 2012 saa 10:11 AM

KWA UFUPI

"Kama imefikia hatua mbunge ambaye ni mwakilishi wa wananchi tena wa chama tawala akitaka kuandamana na wananchi kuchoma mgodi maana yake, Serikali imeshindwa kutatua matatizo ya wananchi" alisema Ngoto.



KAULI ya Mbunge wa Jimbo la Tarime ya hivi karibuni katika mkutano na wananchi mjini Tarime, Nyambari Nyangwine kuwa ataandamana na wananchi wake kutoka Tarime hadi Nyamongo kwenda kuchoma moto mgodi wa Africa Barrick Gold Mine, endapo mgodi huo utashindwa kuwalipa fidia wananchi waliofanyiwa tathmini ili kuhama maeneo yaliyojirani na mgodi yaibua mapya.

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilaya ya Tarime, Lucas Ngoto amemtaka Mbunge wa Jimbo hilo la Tarime, Nyambari Nyangwine awaongoze wananchi wakiwa na mapanga kwenda hadi Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii kudai X-Ray ambayo imekosekana katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime kwa muda wa miezi 8 hali inayowalazimu wagonjwa kwenda mikoa ya jirani na nchini Kenya kupata huduma hiyo.

Ngoto alisema kuwa hashangai kusikia Mbunge Nyangwine akitaka kuandamana na wananchi kwenda kuchoma moto mgodi kwa madai kuwa huenda mbunge huyo kafanya hivyo baada ya kugundua kuwa Serikali imeshindwa kutatua kero zinazowakabili wananchi hususani wa Nyamongo ambao walifanyiwa tathmini na mgodi kuyahama maeneo ambayo mpaka sasa hawajalipwa fidia.



Ngoto alisema kuwa kama kauli ya Mbunge Nyangwine ilikuwa ni ya uchochezi na kuhatarisha amani, kwani kama kiongozi alipaswa kuchukuliwa hatua za kisheria kwa kuwa aliongea mbele ya mkutano wa wananchi wa hadhara ambao ulihudhuliwa na viongozi mbalimbali wa Serikali huku walinzi wa mkutano huo wakiwa ni Polisi.


"Kama imefikia hatua mbunge ambaye ni mwakilishi wa wananchi tena wa chama tawala akitaka kuandamana na wananchi kuchoma mgodi maana yake, Serikali imeshindwa kutatua matatizo ya wananchi" alisema Ngoto.

Ngoto alimtaka mbunge huyo kabla ya kwenda kuuchoma mgodi, yeye kama mbunge awaongoze wananchi wakiwa na mapanga hadi Wizara ya Afya kudai X-Ray kwa madai kuwa kukosekana kwa huduma ya X-Ray Hospitali ya Wilaya ambayo imesababisha baadhi ya wagonjwa kupoteza maisha kwa kukosa huduma,huku wagongwa wengine wakitumia gharama kubwa kwenda kupata huduma ya X-Ray mikoa jirani na nchi ya Kenya.

"Tunamtaka mbunge kabla ya kwenda mgodini atuongoze wananchi tukiwa na mapanga yetu hadi Wizara ya Afya kudai X-Ray, miezi 8 sasa hakuna huduma hiyo, mimi kama kiongozi wa Chadema nimefuatilia hospitalini tunaambiwa X-Ray ni mbovu na wahusika wa matengenezo ni wizara ambayo inadaiwa na kampuni inayotengeza X-Ray zilizoko katika hospitali za Serikali," alisema Ngoto.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa kipolisi Tarime/Rorya, Justus kamugisha alisema kuwa kwa upande wao kauli ya Mbunge Nyangine ya kuchoma moto mgodi haiwezi kuwaathiri kwa madai kuwa mbunge akifanya hivyo hatua za kisheria zitachukuliwa.

Nasari alipotishia kujitenga alionekana ni mchochezi akaitwa polisi kuhojiwa lakini nyangwine alipotishia kuchoma moto anatetewa si mchochezi.........Hv hamjui kauli yake inahamasisha na kuhalalisha fujo?
 
Zamani wakati nasoma vitabu vyake kwenye literature nilidhani huyu mtu ni bonge la mwanamapinduzi, kumbe aaaah! Mweupeeee
 
Kauli ya nasri ilikua ni ya cdm na kauli ya nyambari ni yake kama mkazi wa tarime anahaki ya kutoa kwa wapiga kura wake hivyo hajafanya kosa lolote la kuhojiwa polisi,
 
Police weakness, eti wanasubiri mgodi uchomwe moto ndo wachukue hatua, huu ni ukosefu wa akili na kutokua independent katika kufanya kazi
 
Zamani wakati nasoma vitabu vyake kwenye literature nilidhani huyu mtu ni bonge la mwanamapinduzi, kumbe aaaah! Mweupeeee

Vitabu vingi wanaandika Wasomi wengine ila wanatumia Jina lake Kibiashara.
 
Kauli ya nasri ilikua ni ya cdm na kauli ya nyambari ni yake kama mkazi wa tarime anahaki ya kutoa kwa wapiga kura wake hivyo hajafanya kosa lolote la kuhojiwa polisi,

we ni kichuli kwel, kauli ya NASARI haikuwa ya chama-cdm na ndio maana alipomaliza kuongea na mbowe ilpofika nafasi yake ya kuongea aliifuta ile kaul na kusema hiyo sio kauli ya chama kwani cdm kitawaunganisha watanzania wote kutoka kusin-kazikazin, kutoka magharibi - mashariki kwani ukombozi wa kweli ni lazima kuwausisha watu wote....na kwa nini ahojiwe nasari kama ilikuwa ni kauli ya chama.... na kitu kingine uwezi kutoa kauli za uchochezi eti useme ni kauli yake kama mkazi wa tarime, kama ndiyo hivyo kila mbunge angeenda jimboni kwake na kutoa kauli za uchochezi.....just think about that
 
we ni kichuli kwel, kauli ya NASARI haikuwa ya chama-cdm na ndio maana alipomaliza kuongea na mbowe ilpofika nafasi yake ya kuongea aliifuta ile kaul na kusema hiyo sio kauli ya chama kwani cdm kitawaunganisha watanzania wote kutoka kusin-kazikazin, kutoka magharibi - mashariki kwani ukombozi wa kweli ni lazima kuwausisha watu wote....na kwa nini ahojiwe nasari kama ilikuwa ni kauli ya chama.... na kitu kingine uwezi kutoa kauli za uchochezi eti useme ni kauli yake kama mkazi wa tarime, kama ndiyo hivyo kila mbunge angeenda jimboni kwake na kutoa kauli za uchochezi.....just think about that


Hapo ktk wekendu, msiharibu lugha za watu. Hiyo kitu inaitwa KICHURI
 
Back
Top Bottom