domokaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2010
- 3,545
- 1,719
Chacha Wangwe aliuliwa na ccm kwa sababu ya Masilahi ya kisiasa "
Kwa watu wanaelewa mambo ya usalama watanilewa hapa mara nyingi maadui utumia mwanya wa mnyukano ya ndani ya wabaya wao ili kuwamaliza kisiasa !!
Kama upenyo alioutumia chairman, alipomuona Lissu threat na ana mnyukano na govt akaamua amiminie njugu. Chama ambacho kila uchaguzi ukikaribia lazima afe au afukuzwe Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu au Naibu Katibu Mkuu, miaka yote mtu mmoja tu ndiyo yupo salama, chairman chinja chinja!