Kauli ya mbunge Sugu kwamba CCM inachukua watu "Wajinga wajinga" kutoka CHADEMA siyo ya kiungwana

Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.

Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.

Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.

Maendeleo hayana vyama!
Ujinga sio tusi bali na hali kutokujua jambo fulani. Kila mtu mjinga kwa jambo fulani. Ujinga sio upumbavu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alichosema Sugu, kama ni kweli wanatongozwa na wao kukubali, hao ni malaya wa kisiasa na wanachofanya ni tabia ya umalaya malaya alioizungumzia Baba wa Taifa.

Ila sio wote wanaohamia CCM wametongozwa, kuna wengine ni wamejitambua, hawa waliojitambua, wasibezwe!.


P
Pascal Mayalla unasimamia maneno yako? Nani mwenye jeuri ya kuacha marupurupu baada ya kutumikia ubunge/udiwani kwa miaka minne eti kisa amejitambua na kuamua kurudi chama mbadala ambacho kwa vyovyote atapoteza haki zake zote alizotumikia kwa miaka minne? Nakuelewa sana ila; Je, inaingia akilini?
 
Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.

Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.

Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.

Maendeleo hayana vyama!
Ile lugha ya Mkapa kwa wapinzani ilikuwa nzuri?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.

Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.

Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.

Maendeleo hayana vyama!
Tofautisha mtu mjinga na mpumbavu. Sugu hajatukana. Mjinga ni mtu ambaye hajui ila akieleweshwa atajua asilolijua.
Mpumbavu akili zake ni kidogo au hana akili kabisa akili za utambuzi. Huyu hata umfundishe vipi hawezi kuelewa.
Kuwa maelezo hayo mafupi umenielwa kwa vlle wewe si mpumbavu.
 
Tofautisha mtu mjinga na mpumbavu. Sugu hajatukana. Mjinga ni mtu ambaye hajui ila akieleweshwa atajua asilolijua.
Mpumbavu akili zake ni kidogo au hana akili kabisa akili za utambuzi. Huyu hata umfundishe vipi hawezi kuelewa.
Kuwa maelezo hayo mafupi umenielwa kwa vlle wewe si mpumbavu.
Nimekuelewa bwashee!
 
Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.

Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.

Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.

Maendeleo hayana vyama!
Waliokuwa wanaita wengine "makapi" walikuwa wanatumia lugha ya kistaarabu ya ccm?
 
Naona unapotosha nukuu toka kwa sugu.
Screenshot_20200226-234557.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samaki mmoja akioza kwenye tenga basi wote uhesabika wameoza
Alichosema Sugu, kama ni kweli wanatongozwa na wao kukubali, hao ni malaya wa kisiasa na wanachofanya ni tabia ya umalaya malaya alioizungumzia Baba wa Taifa.

Ila sio wote wanaohamia CCM wametongozwa, kuna wengine ni wamejitambua, hawa waliojitambua, wasibezwe!.


P

In God we Trust
 
Mbona mnatoa mapovu si wameamua wao sasa ninyi hasira ya nini kama ninyi ndio wajinga
Mjinga ni yule anashawishi ujinga kufanyika, katika hili KK hakwepi sifa hii. Nenda Tanzania Visiwani nenda sehemu yoyote ile kwenye siasa makini za ushindani, huwezi kukuta ujinga kama huu wa kuwanunua wapinzani wako ili waunge juhudi.

Upuuzi huu umeandikwa kwa wino wa "kinyesi cha kitimoto" ambao watoto na wajukuu wao watakuja kuwadharau daima, upuuzi ambao waasisi wa taifa letu ijapokuwa walikuwa ndio waasisi wa CCM, lkn katu wasingelithubutu kuutenda.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenyekiti wenu anapowaita watu wapumbafu sana mnacheeeka na hujaja kulalama lkn sugu kutoa mawazo yake imekuuma... huo nao ni ujinga vilevile!!
Mwanaume unaejitambua shurti uwe na misimamo na huwezi badilishwa kama demu unatongozwa kisha unahongwa kidogo unatoa (kadi ya zamani). Nyerere aliwaita wanasiasa waaina hii kuwa na wanasiasa Malaya-malaya!!!
Wasiwe waoga kama kuku,kesho upepo ukigeuka utayakuta yanarudi upinzani,unasaliti wapiga kura wako kibwege unashindwa kukaza hata miaka mitano iishe kisa njaa alafu wengine unawambia wajiajiri... Hawa watu ni malofa,majinga,masaliti na yamejaa tamaa yamali wasijidai nihaki kuhama huo niupuuzi. Waitara alikiri alichungulia akaona akiwa upinzani hatoshinda ndipo akaingia ccm sasa huo sio ujinga? Unawaza tuu wewe kushinda sio Sera ya chama nk. Jinga sana
 
Back
Top Bottom