mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,379
- 3,826
Ujinga sio tusi bali na hali kutokujua jambo fulani. Kila mtu mjinga kwa jambo fulani. Ujinga sio upumbavuNimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.
Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.
Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.
Maendeleo hayana vyama!
Sent using Jamii Forums mobile app