Naona mwanaCCM upo sana concerned na what Chadema does.
Its really funny
Chama mmeshakiua,hii concern inatoka wapi wazee wa "kishindo"?
Acha siasa za vijiwe kijana! mimi nimehesabu kura Arumeru, kura alizopata Lissu ilikua ni aibu ni basi tu ile kubalance. Kwa sasa hata CCM ikisema inaconduct free and fair election i am 100% confident to tell you hata mkiungana vyama vyote vya upinzani bado kuitoa CCM haiwezekani, inshort hakuna chama kinaweza kuitoa CCM! ukiachana na figisu zilizofanyika baadhi ya sehemu lakini hata nnaowafaham waliohesabu sehemu nyingi zingine mfano Hai hakukuwa hata na sababu ya kubisha maaana mlishindwa vibaya!Mpenda MAgufuli ni mpenda CCM...huwezi tenganisha mambo hayo mawili
Wewe ni CCM sympathizer
Mfuasi wa Magufuli most definitely haipendi Chadema kwa hali yeyote ndio maana mmeiibia kura na kuifuta kisiasa baada ya nyie kujishindia kwa asilimia 100%!
Sasa sidhani kama ninaweza kuamini dunia hii mfuasi wa Magufuli aitakie Chadema zuri lolote,maana Chadema ikikua ni hatari kwa Magufuli..
Siamini haya unayosema,kabisa...ni unafiki!
Maandishi kutoka kwa mtu anayejiita si mwanaccm!!Acha siasa za vijiwe kijana! mm nimehesabu kura arumeru, kura alizopata lissu ilikua ni aibu ni basi tu ile kubalance. Kwa sasa hata ccm ikisema inaconduct free and fair election i am 100% confident to tell you hata mkiungana vyama vyote vya upinzani bado kuitoa ccm haiwezekani, inshort hakuna chama kinaweza kuitoa ccm! ukiachana na figisu zilizofanyika baadhi ya sehem lakini hata nnaowafaham waliohesabu sehem nyingi zingine mfano hai hakukua hata na sababu ya kubisha maaana mlishindwa vibaya!
- ndo maaana lissu saaahv amebaki anagombania haki za binadam badala ya kura zake
Wewe ni muabudu Magufuli tu weweacha siasa za vijiwe kijana! mm nimehesabu kura arumeru, kura alizopata lissu ilikua ni aibu ni basi tu ile kubalance. Kwa sasa hata ccm ikisema inaconduct free and fair election i am 100% confident to tell you hata mkiungana vyama vyote vya upinzani bado kuitoa ccm haiwezekani, inshort hakuna chama kinaweza kuitoa ccm! ukiachana na figisu zilizofanyika baadhi ya sehem lakini hata nnaowafaham waliohesabu sehem nyingi zingine mfano hai hakukua hata na sababu ya kubisha maaana mlishindwa vibaya!
- ndo maaana lissu saaahv amebaki anagombania haki za binadam badala ya kura zake
Hamwezi kuachwa hivi hivi ni lazima tutawafuata hadi kwenye makaburi yenu, kuku nyie na nyumbu nyie.Naona mwanaCCM upo sana concerned na what Chadema does.
Its really funny
Chama mmeshakiua,hii concern inatoka wapi wazee wa "kishindo"?
Fun wa magufuli sio....aiseee mm ni mwanachi wa kawaida, ni fun wa magufuli zaidi ya chama sasa tukiwapa ushauri unaanza tena siasa
Hahahaaa
Inaonesha they are really threat to you...ndio maana huwezi kumwacha
Thats reflection of how scared you are about those nyumbu mpaka unashindwa kuishi na kutawala with happiness!
Kama Chadema wangekua hawakuogopeshi chochote wala usingekua na muda wa kuwatafuta maana washakufa
Ila you are so scared shitlessly!
Thats shows how powerful Chadema is over you!You will never be in peace mamaeeee!
Kwani kuna marufuku ya kuizungumzia CHADEMA! Nyie si chama cha demokrasia. Sasa mbona mnakosa vifua vya kupokea maoni tofauti na mnavyofikiri. Kuigiza demokrasia siyo mchezo. Hata Marekani wamejaribu miaka nenda rudi ila mwaka huu wamedondokea pua.Naona mwana CCM upo sana concerned na what CHADEMA does.
Its really funny
Chama mmeshakiua,hii concern inatoka wapi wazee wa "kishindo"?
Wewe yako ya wapi!?, fan wa Magufuli!?.Elimu za kata bana
Ni vizuri ukiwa fan wake maana fun ni kama unamtania.Aiseee mimi ni mwanachi wa kawaida, ni fun wa Magufuli zaidi ya chama sasa tukiwapa ushauri unaanza tena siasa
CCM yote wana muwanza Mbowe pekeeNaona mwana CCM upo sana concerned na what CHADEMA does.....
Its really funny
Chama mmeshakiua,hii concern inatoka wapi wazee wa "kishindo"?
CCM inapendwa zaidi na watu wenye uelewa mdogo (TWAWEZA).Huo ndo ukweli sio mada ya mtu anaependa CCM
Sema na wajinga