Nilikuwa naangalia mechi baina ya Yanga na Ruvu na mpira ulikuwa umebalance huku Ruvu wakimiliki mchezo vyema hadi pale referee kwa mapenzi binafsi alipoamua kuharibu mpira kwa kuwazawadia Yanga penati ya bure bila kufuata kanuni 17 za mpira wa miguu achilia mbali kumtoa nje mchezaji wa Ruvu kipindi cha kwanza kwa Red card ambayo haikuwa na ulazima.
Nipo bar napiga kinywaji nikitafakari kauli ya Waziri mkuu jana alipokutana na viongozi wa vilabu hapa nchini akijaribu kuhamasisha jinsi ya kuisadia timu ya Taifa kufanya vizuri kwenye mashindano ya kutafuta nafasi ya kushiriki Kombe la dunia wakati nawaza ilo nikakumbuka kuwa na yeye jana mara baada ya kikao na vilabu aliishia kupiga picha na viongozi wa Yaga naSimba peke yao.
Mungu wangu aliyeturoga Watanzania alikuwa ni mchawi hatareeeee.
Nipo bar napiga kinywaji nikitafakari kauli ya Waziri mkuu jana alipokutana na viongozi wa vilabu hapa nchini akijaribu kuhamasisha jinsi ya kuisadia timu ya Taifa kufanya vizuri kwenye mashindano ya kutafuta nafasi ya kushiriki Kombe la dunia wakati nawaza ilo nikakumbuka kuwa na yeye jana mara baada ya kikao na vilabu aliishia kupiga picha na viongozi wa Yaga naSimba peke yao.
Mungu wangu aliyeturoga Watanzania alikuwa ni mchawi hatareeeee.