Lastname
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 921
- 296
Mahakama ilitoa amri kwa madaktari wote kurudi kazini ile amri ilipuuzwa na madaktari sasa mahakama mpaka leo imechukua hatua gani? Au ilikuwa inafanya kazi za siasa? au ni muhimili unaopaswa kupuuzwa kama madaktari walivyowapuuza? naomba kuelelimishwa kuhusu hili.