nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
Kauli ya mwanaharakati,mwana INTELJENSIA WA viwango vya KGB,FSB,NSA,GBI,CIA bwana Cyrprian musiba imepokelewa kwa shangwe na wana ccm nchi nzima ya Tanzania
Kwa ambao hamkubahatika kupata offer za bia za wana ccm wanaoshangilia uamuzi huo haswa ikichukuliwa musiba ni mojawapo ya washauri wakubwa wa ngazi za juu subirini baadaye mtabahatika
Mendeleo hayana vyama wajameni.
Kwa ambao hamkubahatika kupata offer za bia za wana ccm wanaoshangilia uamuzi huo haswa ikichukuliwa musiba ni mojawapo ya washauri wakubwa wa ngazi za juu subirini baadaye mtabahatika
Mendeleo hayana vyama wajameni.